radicals
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 4,412
- 6,447
- Thread starter
- #101
mahari sitadai, ila nitawaeleza kuhusu ishu nzima. Ila wakiamua kunirudishia nitaipokeakosa lako la kwanza ni kutoa mahari kabla hujajiridhisha......ulitoa kwa kushurutishwa....kosa kubwa sana hilo.....amekwambia anataka ndoa tuu....ili jamii inayomzunguka wajue ana ndoa.....na sio maisha ya ndoa.....miaka 5 yote unatafuta nini kwake...wachunguza nini??? kosa pia hili......nyie wote ni vijana damu inachemka....but mmoja kwenye gas na mwingine kwa umeme.....hamuwezi fika salama huko mbele.....dai mahari ni haki yako........hujapoteza kitu....si ushamkula....