nyambari
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 355
- 171
Siwezi sahau maisha ya Rubya seminary! Ilikuwa Zaidi ya chuo.Hahaa..umemaliza lini pale....nakumbuka Salus...hahaha...dah....new field....Kyebikere....Brass Band....long time sana
Siwezi sahau maisha ya Rubya seminary! Ilikuwa Zaidi ya chuo.Hahaa..umemaliza lini pale....nakumbuka Salus...hahaha...dah....new field....Kyebikere....Brass Band....long time sana
fumakuleDah..!! Maisha ya seminary matamu sana st.pius x seminary au makoko seminary Musoma R.I.P fr.Fmakure
fumakuleDah..!! Maisha ya seminary matamu sana st.pius x seminary au makoko seminary Musoma R.I.P fr.Fmakure
A.k.a dudu,,,dah apumzike kwa amaniFuma
fumakule
Umemaliza mwaka gani mkuuFuma
fumakule
Mi nilikuwa sengerema seminary 2002 nilikuwa namwona anakuja kumtembelea rafiki yake FR dubaUmemaliza mwaka gani mkuu
seminary sio me naona walinihalibu tu, kufungiwa ndani sana, pale nilipokuwa kwenye makundi ya watu wengi walinitambua ni product ya seminary bila hata kuuliza.. Nakumbuka nilipokuwa form one vijana wa form four walitimuliwa wote bila hata huruma, basi mwaka huo hapakuwa na form four wahitimu.
bila kuwasahau KLSS na BSSbila kusahau st.peters seminary ya morogoro...hakika ilikuwa ni kama mbinguni...wale wa desert...
Mleta Uzi unaanzaje kuisahau St. Mary's Seminary Nyegezi. Seminari iliyopo Jijini kabisa?
Halijui asemaloha ha ha jamani waseminari wenzangu ule msuli tuliokuwa tukipiga na kwa jinsi tulivokuwa tukimwomba Mungu atusaidie tufaulu leo hii huyu jamaa anasema tulikuwa tukiiba mitihani na hiyo haitoshi wengi wa waseminari walioenda shule za serikali kwa form 5 na 6 walikuwa wakitoka na matokeo mazuri mno je hao pia waliiba...usiongee usilolijua...na hii ni thread ya waliosoma seminari tu sasa ww na sekondari yako kaa kando..
Tupoo...Kwa kweli nimeona na mimi nitie neno kdgo; kama kawa SPS,St.Peter's Sem.2005-2008,Rector Chief Kung'alo,Ndwange,Kiangazi,Kilambo,BOTTA. Joint mass Kilakala,out Moro sec,ijumaa chupi na banzi desert,.daz baba
shkamoo Babadahh..mkuu..kuna jamaa mmoja alikuwa mwanaharakati sana alikuwa akiitwa Flondu,duzu,mponda,kipemba n.k.huyu chalii flondu(ndunguru) aliendaga mlimani chuo kikuu akawa mwanaharakati sana wakati ule aisee wakala kichwa(walimwekea incomplete)waliona atakuja sumbua ila alisaidia sana ktk mgomo wa kupandisha boom hadi 7000...huyu jamaa yupo wapi dogo mana nilimwacha hapo sps niliondoka 2004 form four....nilimfuatilia sana harakati zake cjui kwa sasa yuko wapi huyu jamaa´.
Mzee keya bado yupoSt. Pius X, Makoko Seminary, enzi za wapishi "Keya" na "Mwafirika"
Enzi hizo ukija na material yako ya tuition, yafiche huko unakojua wewe yasionekane maana ulichofundishwa kilitosha na pia mzingira na vitendea kazi vya kujifunzia vilitosha kabisa, kuanzia, Library, Maabara, mabweni n.k. na tulishuriwa ukienda likizo ni muda wa kupumzika sio kusoma, na watu walifaulu, sijui siku hizi kuna nini kimetokea maana ufaulu ni wa kawaida.Tuition watu wanaenda kwa mkumbo tu imekuwa kama fasheni lakini siku hizi wanaona kama wanachofundishwa seminarini Bado hakitoshi
Tumbo ndio Linalotembea,Miguu ni Mikongojo tu.