kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,896
Unaogopa wanawake wasomi? Nyie ndo mnakujaga kusumbua ma house girls wenu nyinyi
Jamaa kazinguaAf clean shit inatumika kwa maana yakutopata sup na carry over...
Kwaiyo mkuu hautograduet?
Mbona kawaida sana mimi nimemaliza miaka 3 bila kuwa na relationship yoyote chuoHabari za asubuhi wakuu, niwatakie Eid mMubarak kwa waislam wote, bila kupoteza muda nije kwenye maada, je umewahi kusoma chuo mpaka ukahitimu bila kuwa na mahusiano ya kimapenzi pale chuoni yaani ukatoka na clean sheet?
Binafsi kwa sasa niko mwaka wa mwisho na kuna kila dalili za kumaliza chuo na 4 clean sheets, yaani miaka yote minne sijawahi date na msichana yoyote hapa chuoni japo nina mahusiano mengine huko mtaani, ni kwa sababu wasichana wa hapa chuo huwa nawaona ni expensive, then wanaringa sana.
Kwa wale mliowahi kumaliza chuo na clean sheet ni changamoto gan ilikufanya umalize chuo bila kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanachuo?
Tushamueka kwenye boxJamaa kazingua