Kwa wale walio oa na kuolewa

Kwa wale walio oa na kuolewa

Unajua dharau na matusi pindi mtu anapo omba ushaur ni maamuzi ya msikilizaji mwache afanye hivyo Evelyn maana ni utash wake
 
Kuna njia nyingi mkuu. Mwenzio Nilitumia archimedes principle
 
Hahahhhahahahhahaha ila humu watu hawako serious mda mwingine


Mkuu, sivyo unavyofikiria. Ni hivi, asikudanganye mtu hata siku moja, hakuna mwanamke asiyependa kutizama dushelele la wanaume, never. Kama ni mkeo ama girl friend wako atakuambia "mimi sipendi." Ukweli ni kwamba hata wanawake pia wana matamanio tena ya hali ya juu, wanapenda sana kutizama mwanaume na kuchunguza dushe lake lina ukubwa gani kwa kuhisi tu.....ulizia watakuambia.
 
Zingatia kauli hii milele ....

A child of divorced family lead to failed marriage....


Zingatia maadli,heshima,mwanamke akutii akuheshimu kwa lolote...

Ukipata meanamke mwenye kukutii,kukuheshimu,asiye na mdomo na maneno mengi...atakayekusoma kwa week za mwanzo na kujua nini hupendi...peleka mahali kesho
 
Back
Top Bottom