mkuu hapo umekosea sana,,,cjakosa ajira kabisaah,,,nlivomaliza nlikuwa best student pale cass,,niliombwa nibaki Na department mbili,,department ya economics Na department ya finance kule udbs niwe t. assistant ila nilikataa,,nimeitwa sehem kibao ila nimeona niendelee kwanza Na elimu,,,siyo kila anayeomba ushauri kakosa ajira # obama wa bongo
haaaaaaaaaaaaa!hapo ndio unaona uzuri wa kuwa na elimu ya taaluma(proffesional) tofauti na elimu ya shahada(degree) ambayo sometimes inakuwa useless in market mfano political science,sociology,economics,linguistic,kiswahili !
nawashauri vijana someni degree taaluma kama uhasibu,udaktari,uhandisi ila elimu shahada inaweza kula kwako kwenye soko la ajira na kujiajiri pia
ni mtizamo tu!
hapana mkuu,,,niko apo apo mlimani naendelea Na mba,,,bado nahitaji cpa,,,nilishindwa kugawanya mda
halafu utakuwa ni muhaya wewe , maana unajifagilia hatari!!mkuu hapo umekosea sana,,,cjakosa ajira kabisaah,,,nlivomaliza nlikuwa best student pale cass,,niliombwa nibaki Na department mbili,,department ya economics Na department ya finance kule udbs niwe t. assistant ila nilikataa,,nimeitwa sehem kibao ila nimeona niendelee kwanza Na elimu,,,siyo kila anayeomba ushauri kakosa ajira # obama wa bongo
Samahani cpa ndio nini?
Samahani cpa ndio nini?
halafu utakuwa ni muhaya wewe , maana unajifagilia hatari!!
mti wenye matunda ndio upigwa mawe. Kwa nini husisema ni mgogo au muha. Au unawajema kwa kuwa wamechagua chaguo lililo bora? (elimu)
ni mbadala wa CPU.
Nakuunga mkono Keynes, kwa nn mtu udharau jaman, do u thnk u are the best than others academically? Kila mtu amepewa karama yake bwana, acheni dharau sio lazima kucoment kila unachokiona, waacheni wengine hekima na busara za Kitaaluma watoe ushauri makini kwa wenye shida; umasikini utaisha lini kama we dont show signs of maturity? Mm nimesoma Community development studies na limeniuma kuona nimedharauriwa