I'm b.a economics holder from udsm Nina first class 4.5,,,,napenda sana kuwa Na cpa,,,nitaanza module gan??? ahsanteni
google utakuwa mzembe tukikuambia hapa jf!Samahani cpa ndio nini?
I am B.A Economics holder from UDSM, nina first class 4.5. Napenda sana kuwa na CPA.
Nitaanza module gani?
Ahsanteni
mkuu hapo umekosea sana,,,cjakosa ajira kabisaah,,,nlivomaliza nlikuwa best student pale cass,,niliombwa nibaki Na department mbili,,department ya economics Na department ya finance kule udbs niwe t. assistant ila nilikataa,,nimeitwa sehem kibao ila nimeona niendelee kwanza Na elimu,,,siyo kila anayeomba ushauri kakosa ajira # obama wa bongo
acha kutuuzia chai dogo!mkuu hapo umekosea sana,,,cjakosa ajira kabisaah,,,nlivomaliza nlikuwa best student pale cass,,niliombwa nibaki Na department mbili,,department ya economics Na department ya finance kule udbs niwe t. assistant ila nilikataa,,nimeitwa sehem kibao ila nimeona niendelee kwanza Na elimu,,,siyo kila anayeomba ushauri kakosa ajira # obama wa bongo
mkuu hapo umekosea sana,,,cjakosa ajira kabisaah,,,nlivomaliza nlikuwa best student pale cass,,niliombwa nibaki Na department mbili,,department ya economics Na department ya finance kule udbs niwe t. assistant ila nilikataa,,nimeitwa sehem kibao ila nimeona niendelee kwanza Na elimu,,,siyo kila anayeomba ushauri kaka ajira # obama wa bongo
Unajua syllabus imebadilika na itaanza kutumika nov 2014,kwa hio ili kupata maelekezo mazuri inabidi uende NBAA pale, maana kwa sasa hata kama una dagree ya uhasibu utatakiwa kufanya paper 10 kuanzia intermediate stage hadi mwisho.ila hongera sana kwa kuondoka na 1st class hapo UDSM