Kwa wale tulioachwa na wapenzi wetu tu

Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka


Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka


Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu



na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!


Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza

Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee
Heri yangu mi huwa naacha! Inaonyesha ulikuwa umeweka moyo wako wote kwa jamaa polee!
 
Umeachwa kwanai mlikua mmeoana au ni kimjini mjini tu
mpaka ukawa mshairi ?
 
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..

Maneno yako matamu sana na yanaencourage.
But usicheze na kuachwa, tena pale unapokuwa inocent on the circumstance.
Inauma sana, lkn ndo hivyo, life goes on.
 
Back
Top Bottom