Amyner
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 2,397
- 877
ohoo..Memo tena...hajanambia...hebu ni update unajua muda kidogo nimepotea hapa...what hapenned?
Alot has happened.. Ntaku brief kwenye PM..
Hivi haujawahi kuachwa wewe?
ohoo..Memo tena...hajanambia...hebu ni update unajua muda kidogo nimepotea hapa...what hapenned?
Alot has happened.. Ntaku brief kwenye PM..
Hivi haujawahi kuachwa wewe?
Heri yangu mi huwa naacha! Inaonyesha ulikuwa umeweka moyo wako wote kwa jamaa polee!Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka
Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu
na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!
Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza
Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee
Orait, am waiting....
Sikumbuki kuachwa, ila nilishaacha painfully.....lol
naendakusema kwa mama....... kusema........
I can feel that...lol
Asipo sema yeye nitakusema mimi. lolwewe! mwana kigangala wewe...leo utakula dagaa LOL
mambo Smile....."usiende kusema eeh"
Asipo sema yeye nitakusema mimi. lol
Shkamoo Uncle...
Na usiposema wewe ntasema mimi..Asipo sema yeye nitakusema mimi. lol
Shkamoo Uncle...
I'm happy to talk to you too Uncle...:hug::hug: :hug:
Safi Sweetlady. Habari za leo?Na usiposema wewe ntasema mimi..
Mambo Mwali.
Nzuri Mwali wangu!I'm happy to talk to you too Uncle...
Safi Sweetlady. Habari za leo?
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..