Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka
Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu
na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!
Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza
Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka
Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu
na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!
Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza
Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee