Isack Michael
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 122
- 33
- Thread starter
- #21
Nilikua naomba msaada wa kutengeneza ata simple program ili nijiweke vizuriReally Bad idea.
Mkuu umetumia C kweli? Comparing with other languages C ni rahisi sana kwa beginner, java na higher level concepts zote zile nani ataelewa?
Can you compare
Code:#include <stdio.h> int main(){ printf("Hello world!"); return 0; }
VS
Code:package whatever public class HelloWorld { public static void main(String[] args) { System.out.println("Hello, World"); } }
Yaani Java sio beginner friendly hata kidogo, concepts za public, static, class bado uje kwenye functions zake System.out.println yaani watoto lazima wakimbie programming.
Watu wanachoogopa C sijui ni nini? Wengi wanasema pointers sijui, there's really nothing special to it, In fact its a better language kwa beginner ajue vizuri how to access memory na kutumia resources efficiently, hizo abstractions zote zimefichwa kwenye higher level languages.
Python labda, japo dynamic typing is a mess ila angalau inaweza kuvumiliwa kwa kua na very easy syntax.