Jamani ndugu zangu nilikuwa naomba kujuzwa juu ya hili jambo nipate uhakika sio kubahatisha bahatisha maana nimeambiwa na wengi sana hili jambo.
Je, hivi ni kweli kwamba watu wanaosoma Diploma ya Mechanical Engineering huwa wanasoma utengenezaji wa magari zaidi?
Naombeni msaada hapa.
Je, hivi ni kweli kwamba watu wanaosoma Diploma ya Mechanical Engineering huwa wanasoma utengenezaji wa magari zaidi?
Naombeni msaada hapa.