okoyoko
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 2,664
- 3,631
hello guys,
Nasikia eti kuna dawa ukipaka machoni, mtu unaona majini/mashetani/mapepo live, ni ya kweli haya? kwa mliofanya hivi experience yenu ilikuaje?
Hlf naskia binadamu wengi sana tunaokutana nao barabarani kila siku sio binadamu halisi, ila ni mapepo/majini yaliyovaa miili ya binadamu, kwa macho ya kawaida wanaonekana ni binadamu, ila kiroho sio
Nasikia eti kuna dawa ukipaka machoni, mtu unaona majini/mashetani/mapepo live, ni ya kweli haya? kwa mliofanya hivi experience yenu ilikuaje?
Hlf naskia binadamu wengi sana tunaokutana nao barabarani kila siku sio binadamu halisi, ila ni mapepo/majini yaliyovaa miili ya binadamu, kwa macho ya kawaida wanaonekana ni binadamu, ila kiroho sio