Tsitingile
Member
- Sep 25, 2018
- 97
- 61
MMaendeleo ya Jimbo yanaletwa na wananchi wa jimbo husika. Na maendeleo ni WATU sio VITU. Ukiwa na WATU walioendelea watadai barabara, watalipa kodi, watajitahidi wawe na shule nzuri(elimu bora), watajenga nyumba nzuri. MBUNGE ni sawa na kipaza sauti tu. Hakuna maendeleo yanayoletwa na kiongozi ni watu. | ||||||