Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,142
- 2,160
Shukrani mkuu nipe dondoo mbili tatu za muhimu sina mwongozo kivile
Nimekusoma mkuu... ila siombi ushauri mzee js heads up tu...Maamuzi magumu siku zote ni kujilipua tu,ukianza kuomba ushauri utapotea mapema.
Nimekusoma mkuu... ila siombi ushauri mzee js heads up tu...
Maamuzi ya kuingia huko nshafanya tayari sasa ni kuanza kutekeleza tu
Shukrani mkuu ngoja tukapambaneMkuu we ingia front tu,mengine humo humo utayasoma mchezoni mkuu.
All the best.
Asante kwa ushauri kaka ntazingatia hiloKule wanatoana kafara kinyama...stay tuned..kama we ni mshika dini, shika dini kiukweli kweli, kama we ni mshirikina inabdi uwe mshirikina kwelikweli, usifanye kosa la kuwa neutral....utagharimu ukoo..kila lakher
Duh umenikumbusha enzi zile nlijilipua tunduru Dah alafu nlikua chali tuKwema wakuu ?
Poleni na harakati za january hii..
Kutokana na ugumu wa maisha nataka kujilipua niingie migodini pande za nyalugusu huko ila sina uzoefu na mazingira ya huko
Ningependa kupata dodoso kidogo juu ya hali ya maisha huko na nijipange vp kukabiliana na changamoto za huko...
Natanguliza shukrani
Pamoja sana mkuu.... wadogo zako ndo wakati wetu huu kujaribu bahati zetu huko......Duh umenikumbusha enzi zile nlijilipua tunduru Dah alafu nlikua chali tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Jilipue tu mm wakati naenda tunduru nlikuwa na miaka 18 waziri wa madini alikuwa William shijja kuna ziara yake moja aliniona kule alingakaa sanaPamoja sana mkuu.... wadogo zako ndo wakati wetu huu kujaribu bahati zetu huko......
Ushauri kutokana na uzoefu wako huko utafaa sana
Pamoja kaka ngoja nizame huko....Mkuu nyarugus umenikumbusha mbali saana. Nilishawahi kupiga mzigo huko. Kuproces marudio wanaita.
Kila la kheri mkuu maisha ni kujaribu. Nakumbuka watu tulikuwa tunakaa hata miez minne bila pesa. Siku mambo yakiwa mazuri pesa inasihia baaa plus ujinga mwingine pls take care uwenamtumizi mazuri ya pesa
Pia rate ya HIV ni kubwa kule. Uwe makini kulinda afya yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah kweli mzee ulijilipuaJilipue tu mm wakati naenda tunduru nlikuwa na miaka 18 waziri wa madini alikuwa William shijja kuna ziara yake moja aliniona kule alingakaa sana
Ila yote maishaaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app