DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Huyo ni mimi kabisaaasisi ma introvert hata kutongoza mwanamke huwa tunapata tabu sana akikuzungusha tu wiki unaweza kuachana nae . hatuwezagi kubembeleza saana.
I stand to be corrected.
Sent using Jamii Forums mobile app
haaaaaaah haaaah mi nilipoona MALAFIKI baaaaaasi nikaishia hapo kusomaKama wewe ndo ulikuwa unatype assignment za makundi basi umewafelisha sana wenzako, post yako umetype hovyo sana, na hii ni yako sipati picha hizo assignments kutoka kwa lecturers zilikuwaje,
hizi degree hizi yaani basi tu Mungu atusaidie.
Lakini nakutakia mwaka mpya wenye mafanikio, na usikubali mwaka 2020 upite ukiwa bado unatype hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa najiona bonge la introvert ila baada ya kusoma huu uzi, nimegundua kuna watu wananishinda kwa mbali sana.
Sipendi kuchangamana, ila sio hadi kushindwa kuhudhuria group discussion.
Sio hadi kuogopa kufanya presentation.
Sio hadi kukosa marafiki kabisa.
Sio hadi kushindwa kupiga story na watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Introvert ni kujiendekeza tu ,ubinafsi na uchoyo.Badilikeni.Hakuna binadamu asiyependa privacy kukaa peke yake lakini nyir mmeenda extra mile acheni kujiendekeza mtakosa kuzikwa how come unajifungia ndani chumbani hupokei simu wala kupigiwa simu mtajikuta mmekufa Hadi mmeoz majirani hawajui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nnaweza nikaa ndani the whole day nisiongee na mtu ila ni mcheshi kwa watu niliowazoea humu nimewaona maintrovert kweli kweli maana mm ni naongea mno , siwezi jiita introvert .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza usije ukachanganya (ubinafsi, uchoyo, dharau, kuringa, kujiona au kujisika,upole, kujisifia,aibu,uoga,kukosa heshima, pamoja na ujinga), hawa wote wanajulikana ila wanapretend kua ni Introvert na kuficha tabia zao katika wingu la introverts ila rahisi kuwajua sababu tabia haifichiki, introverts utawajua tu, hakuna Introvert mwenye tabia hizo binafsi sina.
Kwanza nashukuru mungu, nimezaliwa Introvert, la sivyo sijui ningekua nani,
Kuzaliwa Introvert kumenifanya niepuke,
Makundi ya ajabu, ajabu
Michezo isiyo na faida,
Kukaa vijiweni kuongea utumbo,
Marafiki wanafiki,
Mambo ya anasa zinaa,ulevi nk
Vishawishi nk
Japo watu wanadhani Introvert wana aibu, sio kweli, tunaringa, hatujali,hatuna heshima pia sio kweli.
Naheshimu kila mtu ila usipo jiheshimu, sikuheshimu,
Maisha ya kuchanganyika yalinipa tabu sana, ila now niko free
Siku sio za kazi najifungia nyumbani kwangu,
Nasikiliza music, watching movies,playing games,singing, dancing alone,meditation au huwa nafanya kitu ninachopenda Kama Sina kazi, nafanya kila kitu peke yangu,maisha mbona rahisi, marifki wachache wanatosha, sio lazima ujuane na kila mtu, just mind your own business,
How to win at life,
Step1: let people do what they need to do to make them happy,
Mind your own business and do what you need to do to make yourself happy.
The END
Huyo ndo. MimiMimi ni introvert na najivunia kuwa hivyo.
Being an introvert doesn't mean that you'll be antisocial or stressed.
Changamoto ambazo tunazipata sisi introvert ni kwenye mahusiano na watu.
Hatupendi kukaa na watu
-Hatupendi story za kipuuzi,kama udaku na kusema watu,tunataka story zenye facts.
-Hatuna marafiki.
-Kama tukitaka kwenda club tunaenda club tunaenda wenyewe na hatuchezi mziki tunasikiliza tu.
-Mtu akija kukutembelea unatamani aondoke,sio kwamba humpendi basi tu unakuwa hupo comfortable.
-Hupendi kupokea simu,simu ikiita unaiangalia , halafu unamtext muhusika
-Unapenda sana text kuliko calls
-Muda mwingi upo kichwani mwako
Introvert ni kujiendekeza tu ,ubinafsi na uchoyo.Badilikeni.Hakuna binadamu asiyependa privacy kukaa peke yake lakini nyir mmeenda extra mile acheni kujiendekeza mtakosa kuzikwa how come unajifungia ndani chumbani hupokei simu wala kupigiwa simu mtajikuta mmekufa Hadi mmeoz majirani hawajui.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa najiona bonge la introvert ila baada ya kusoma huu uzi, nimegundua kuna watu wananishinda kwa mbali sana.
Sipendi kuchangamana, ila sio hadi kushindwa kuhudhuria group discussion.
Sio hadi kuogopa kufanya presentation.
Sio hadi kukosa marafiki kabisa.
Sio hadi kushindwa kupiga story na watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu nimejitahidi sana ili nami nibadilike lakini nimeshindwa. Nimejikuta nina marafiki wachache sana. Na uwa ninakellekwa hasa na watu waongoMimi ni introvert na najivunia kuwa hivyo.
Being an introvert doesn't mean that you'll be antisocial or stressed.
Changamoto ambazo tunazipata sisi introvert ni kwenye mahusiano na watu.
Hatupendi kukaa na watu
-Hatupendi story za kipuuzi,kama udaku na kusema watu,tunataka story zenye facts.
-Hatuna marafiki.
-Kama tukitaka kwenda club tunaenda club tunaenda wenyewe na hatuchezi mziki tunasikiliza tu.
-Mtu akija kukutembelea unatamani aondoke,sio kwamba humpendi basi tu unakuwa hupo comfortable.
-Hupendi kupokea simu,simu ikiita unaiangalia , halafu unamtext muhusika
-Unapenda sana text kuliko calls
-Muda mwingi upo kichwani mwako
Unanisema eehMimi ni introvert na najivunia kuwa hivyo.
Being an introvert doesn't mean that you'll be antisocial or stressed.
Changamoto ambazo tunazipata sisi introvert ni kwenye mahusiano na watu.
Hatupendi kukaa na watu
-Hatupendi story za kipuuzi,kama udaku na kusema watu,tunataka story zenye facts.
-Hatuna marafiki.
-Kama tukitaka kwenda club tunaenda club tunaenda wenyewe na hatuchezi mziki tunasikiliza tu.
-Mtu akija kukutembelea unatamani aondoke,sio kwamba humpendi basi tu unakuwa hupo comfortable.
-Hupendi kupokea simu,simu ikiita unaiangalia , halafu unamtext muhusika
-Unapenda sana text kuliko calls
-Muda mwingi upo kichwani mwako
sijui mm nipo wapi nijuzeni wataalam maana mm kwanza kuna majiran zangu nakaa nao uswahilini nymba ziko ero distance lakin hawaijui hata sauti yangu inaskikajeNatumai mko wazima na wale wenye changamoto nawapeni pole niende moja kwa moja kwenye mada.
Mimi kwanza sijijui kama ni introvert au anti social au nina vyote kwa pamoja nakumbuka maisha yangu ya chuo yalikuwa mtihani mkubwa sana vitu kama discussion presentation sikuwa napatana navyo kabisa sikuwai kushiriki discussion kazi yangu ilikuwa ni ku type assignment kitu kilichopelekea niwe na marafiki wachache
Baada ya kumaliza na kuwa na familia nilifanikiwa kupata mwanamke aliye tofauti na mimi yeye yuko social so vitu vinavyohusu changanyikeni kama misiba harusi nk mimi naonekana tu alafu natoweka hizo mambo anamaliza yeye hii ndio pona yangu.
Hii hali ilinifanya nisipange nyumba, yaani kitu cha kwanza kufanya kwenye maisha yangu ya baada ya masomo ni kujenga ili tu nikiwa natoka kazini najifungia nyumbani namshukuru sana baba yangu alinisapoti pakubwa sana nilikuwa nawaza sana mimi ni mtu wa aina gani ila nimezoea na wachache wanaonielewa ndio ninaoenda nao.
Tupe experience yako.
Naongea haraka sana kama na Rap hivi.YOUNGBLOOD,
We are stressed, we think too much, we talk fast than normal human beings. We are lonely, we are dying deep inside. We we we we and we....
- Sérgi