assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
Mwenzenu nina tatizo siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.Tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,naomba ushauri nifanyaje hili hali hii initoke kwani nikimwacha naanza kumkumbuka tena kwani nipo kwenye umri wa kuoa.Na siruki ruki ovyo je tatizo hili linasababishwa na nini.naomba ushauri wa kisaikolojia ili tatizo langu liishe.
kwanza utubu dhambi zako na kuokolewa, pili unatakiwa uende ukaombewe, tatu uoe hizo ni roho chafu za enzi za sodoma na gomora, hakuna mtu aliyetulia na mwanamke mmoja, nne ujiombee wakati wote