Kwa wakubwa tu

Kwa wakubwa tu

mlimamkuu

Member
Joined
Sep 25, 2013
Posts
16
Reaction score
5
Mwenzenu nina tatizo siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.Tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,naomba ushauri nifanyaje hili hali hii initoke kwani nikimwacha naanza kumkumbuka tena kwani nipo kwenye umri wa kuoa.Na siruki ruki ovyo je tatizo hili linasababishwa na nini.naomba ushauri wa kisaikolojia ili tatizo langu liishe.
 
Ni tabia tu
Dawa ni kujituliza bila msichana kwanza

Anyway unakua na msichana kwa kuwa unampenda au kwa kya una mhemko?
 
Mwenzenu NINA TATIZO siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,NAOMBA USHAURI NIFANYAJE HILI HALI HII INITOKE KWANI NIKIMWACHA NAANZA KUMKUMBUKA TENA KWANI NIPO KWENYE UMRI WA KUOA.na siruki ruki ovyo je tatizo hili linasababishwa na nini.naomba ushauri wa kisaikolojia ili tatizo langu liish

usijali, ukikua, utaacha!

kwa sasa uko kwenye foolish age.
 
shauri yako,,kuna ushoga kumbuka,,hizo ndo symptoms.., kemea kwa JINA unaloamini.
 
Kigezo chako kikuu kabla ya kuingia kwenye uhusiano mpya ni tendo la kujamiana. Sasa ukishafanikisha ndilo wazo lako linakuwa limetimia. Kuwa na mtazamo tofauti kutoka sasa kabla ujaingia kwenye mahusiano mapya. Tendo la kujamiana liwe ni wazo mbadala uingie kwa vigezo vingine ambavyo ni vingi.
 
imani yako na mawazo yako umeyaelekeza kwenye hiyo tabia hali inayokufanya ushidwe kudumu na msichana mmoja kwani akili yako itakuwa inakataa..
aza kugeuza mtazamo wako nauone kwamba unaweza kudumu nae.tafuta mwanamke ambaye roho yako itaridhia.mwelekeze vitu unavyopenda ili awe anakufanyia.
mambo ya ngono usiyawekee kipaumbele sana.tumia muda wako mwingi kuwaza maisha yako na msichana huyo mmoja tu..
ona kama wasichana wengine hawana maana zaidi ya ulie nae.
kisha utumie muda mwingi kuwa nae kama charting .kuzungumza kwa simu na outing.ili ujenge mazoea kwake pekeyake...
 
Achana na hizo Habari fikuria kuhusu future yako na familia yako kwanza
 
Mwenzenu NINA TATIZO siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,NAOMBA USHAURI NIFANYAJE HILI HALI HII INITOKE KWANI NIKIMWACHA NAANZA KUMKUMBUKA TENA KWANI NIPO KWENYE UMRI WA KUOA.na siruki ruki ovyo je tatizo hili linasababishwa na nini.naomba ushauri wa kisaikolojia ili tatizo langu liish

Kama huwezi kukaa nae simama nae!!
 
Sikiliza no matter umekua or bado foolish age..
Value urself what u gain baada ya kuumiza wasichana?? Badilika wewe unatamani tu ngono na kuwa na mihemko ya mapenz hujawah kupenda, badilika kwa kuamua kwa akili na kuchukua uamuzi wa kupenda sio kila pupuchi uchungulie
 
sasa jamaa, hebu tulia umri wa kuoa ukpita ndio waweza kukaa au kusimama au kuchuchumaa na mwanamke vizuri....
 
Mwenzenu nina tatizo siwezi kukaa na mwanamke yoyote katika mapenzi nikimchoka namwacha kama utani.Tatizo hili limekuwa lininitokea mara kwa mara kila msichana nimpendae nikimchoka namwacha tu,naomba ushauri nifanyaje hili hali hii initoke kwani nikimwacha naanza kumkumbuka tena kwani nipo kwenye umri wa kuoa.Na siruki ruki ovyo je tatizo hili linasababishwa na nini.naomba ushauri wa kisaikolojia ili tatizo langu liishe.

Yanaweza kuwa ni madhara yatokanayo na familia iliyokulelea au mazingira uliyokulia, mapenzi labda kwao yalikuwa ni hadithi kila baada ya muda mna mama mpya au ulikuwa unaona ndugu na rafiki wakibadilisha wanawake bila mpangilio!! Na akili yako imekua ikiwa na hilo na kuathirika bila ya wewe kujijua!!

Onana na wataalamu wa 'saikolojia' hasa ya mapenzi kuna vitu watakushauri.
 
Yah, ni tatizo ambalo lipo na linaumiza sana, unakuta mtu unataman kuwa na long term relationship ila ukipat mwenza tu na kumgonga basi hamu yote huisha, ebu jaribu kuwa na girl kwa mda wa miezi mitatu au minne bila kufanya nae sex , kama pia utamchok basi ni another topic. Wengine mmeumbwa hivyo automatically
 
Back
Top Bottom