Kwa Wakristo tu

Kwa Wakristo tu

Kwa WAKRISTO mkeo hata akikupakaa kinyesi usoni Huna RUKSA KUMUACHA MPAKA KUFA.

Na ukimuacha Umevunja amri ya BIBILIA. Utalaaniwa mpaka siku ya Mwisho na Ukifa unatupwa Moto wa Jehanamu.

Huo ndio UKRISTO km Ulikuwa hujui.


Sio hawa wa siku hizi. Hii ina-apply ikiwa ulimkuta mkeo akiwa bado ni msichana (ana bikira). Kama ulikuta open canal hakuna haja ya kuvumiliana akikuchosha ruksa kutupa kule!
 
mpendwa ni vizuri ukafafanua kidogo matendo husika ili turudi kwenye neno tupime na tuweze kushauri!
 
Heshima kwenu,

Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?

Kazi kwenu

kwangu mimi zile sentence haziwezi kunifunga kiasi hicho,Kwa nini uzike furaha yako kwa ajili ya matamshi yaliyosemwa kanisani ambayo mwenzio hayafuati? Tupa kule kwani tumeunganishwa na minyororo?
 
Heshima kwenu,

Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?

Kazi kwenu

haitakiwi kuvunja kiapo mlichowekeana, mpaka kifo kiwatenganishe.
 
Back
Top Bottom