Habar ndug zang naombbkufaha kwa wale mlioomb mkopo je account zenu zinafunguka make account yangu aifunguki na wala cjapata mkopo ci kwambnmesahau password wala na je bach bado zna endelea
Nadhan batch ya mwisho ni ya 5 cuz yamebaki majina yasiyozidi 3700 kulingana na bajeti na idadi iliyopangwa kutolewa kwa first yr students wa mwaka huu! Baada ya hapo kuna rufaa..hvyo kama umekosa round zote ni vizur kukata rufaa maana unaeza pata na sio kulalamika maana haisaidii chochote!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.