Kitope
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 236
- 58
Nyumba ni asset kama umezaliwa na kuishi tz tu miaka yote na kutembea nchi jiran za africa but kama umetembea na kuiona dunia ilivyo I mean kama umeshafanya fanya connection hethrow,doha, amsterdam na kwingineko nchi za kufika hadi ubadilishe ndege mara kazaa nyumba ni liabilities unless hiyo nyumba ni for business purpose bt kama ni ya kuishi na unaishi mwenyewe ndani ni liabilities over, kama ujanielewa vizuri tembea uione dunia utajua namaanisha nini, over
Mkuu sasa naona umeamua kuharibu kabisaaaa. dah