CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Kuna hili jimbo lenye kura laki 2 za bure kabisa bila kutumia jasho jingi.
Jimbo hili limetelekezwa toka 2015,
Wananchi wake wanasononeka na kunung'unika.
Naona hata Tundu Lisu kwenye hotuba yake amesahau hili Jimbo.
Ikumbukwe hizi kura zaidi ya laki mbili zinaweza kuongezeka kutokana na undugu wa wananchi na majimbo mengine...
Ni miaka 5 au sita sasa wafanyakazi wamechinjiwa baharini.
HATA ile nyongeza ya mwaka ya kisheria haipo.
Walioajiriwa 2014/2015/2016
Bado wana mishahara Ile Ile.
Hakuna mtu wa kuwasemea..
Bila shaka hizi kura zipo wazi kabisa kwa mgombea atakayeahidi Jambo...katika wananchi wa jimbo hili...
Karibuni jimboni kwetu...
Jimbo hili limetelekezwa toka 2015,
Wananchi wake wanasononeka na kunung'unika.
Naona hata Tundu Lisu kwenye hotuba yake amesahau hili Jimbo.
Ikumbukwe hizi kura zaidi ya laki mbili zinaweza kuongezeka kutokana na undugu wa wananchi na majimbo mengine...
Ni miaka 5 au sita sasa wafanyakazi wamechinjiwa baharini.
HATA ile nyongeza ya mwaka ya kisheria haipo.
Walioajiriwa 2014/2015/2016
Bado wana mishahara Ile Ile.
Hakuna mtu wa kuwasemea..
Bila shaka hizi kura zipo wazi kabisa kwa mgombea atakayeahidi Jambo...katika wananchi wa jimbo hili...
Karibuni jimboni kwetu...