shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,357
Ni bomu la maangamizi.
Yaani hapo hata mmbu hasogei
Ni bomu la maangamizi.
Ushuzi wake sasa chezea maindi y kuchoma na mayai lol
Alishautoa mmoja tukiwa safarini ikabidi tumlazimishe dereva asimame,kisha tukamlazimisha yule jamaa aende kutegua vinginevyo tunamuacha....
Leo kama vepeh...Kaka Mphamvu tutafutane weekend moja twende tukabonde urojo na juice ya tende ilala...au twende hata coco beach au uwanja wa nyumbani msasani mkabala na kkkt tukafanye mchakato.. huwa najisogezaga sana kkwenye hayo mambo...ndio kaugonjwa kangu hako ...
Leo kama vepeh...