The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Malengo mbele dada yangu hapo huwa napawaza kila sikukweli aisee,utaepuka mengi.....wewe ni type ipi hapo kaka?
Malengo mbele dada yangu hapo huwa napawaza kila sikukweli aisee,utaepuka mengi.....wewe ni type ipi hapo kaka?
eti we si muongeaji sana? ila kwenye keyboard unaweza andika sana eeeeh.....haya bwana!!!
Ahaaa ahaaa haaaaami sijambo,u hali gani the happiest man alive.....???
Malengo mbele dada yangu hapo huwa napawaza kila siku
Niambieee.....Eti wewe kaka . . . .
Niambieee.....
ni kweli....unapofuka ila kuna mambo yatakufungua macho tu.....tulishapofuka sana ila kwa tabu tulizopata...tuliona na kusonga mbele macho wazi na masikio....
Usiwe na presha kijanaUmeona chata langu jipya?
good point.....
but they say attraction is not a choice....
so usiwalaumu sana....
sometimes we fall in love with the wrong people while we know its a mistake....
because atraction is not a choice,it just happens..........[/QUOTE]
so lets say,am attracted to you and you are mistreating me or abusing me....does attraction worth all that sufferings??
FUNNY QUESTION..
SOME PEOPLE CAN BE VERY ADDICTIVE......
UMEWAHI JIULIZA WHY WANAWAKE WENGI HAWATAKI TALAKA HATA KAMA
MUME NI ABUSIVE??????
Keyboard isikudanganye my dia, ni kama sharobaro tu
Usiwe na presha kijana
FUNNY QUESTION..
SOME PEOPLE CAN BE VERY ADDICTIVE......
UMEWAHI JIULIZA WHY WANAWAKE WENGI HAWATAKI TALAKA HATA KAMA
MUME NI ABUSIVE??????
Nimewahi kujiuliza, na kuwauliza wao....wanadai heshima itashuka,wengine wanasema hawataweza kulea watoto wenyewe,wengine watapata wapi mwingine etc.....we unafikiri kwanini wanabaki kwenye abusive marriage???
Dada naona haujanielewa...nilikuwa namaaanisha mwanaume yoyote yule lazima uwe na malengo ya mbele ukiwa na mwenzio mtapanga na kuangalia mfanye nini kwa ajili ya maisha yenu ya baadae ikiwa ni pamoja na kukaribisha familia mpya pale mnapopata mtotoso wewe ni wale mnaokuja na ahadi kemkem lakini hamumaanishi sio? ukipata hitaji unakula kona eeeh?i doubt this.....:A S 13:
No worries kijanakWA HESHIMA YAKO NGOJA NIBADILI
HA HA HA AH
No worries kijana
Kwanini sis??nahisi tutakupoteza soon.....:decision: