Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Endeleeni kutoa ujuzi, haya ikiwa humu umevutiwa tu na michango yake, yaani kuna mtu hata sura wala umri wake siujui ila ninavutika kwake acha. kupm naigopa kabisa.
Umenkumbusha mwaka juzi nilikuwa naenda lushoto,basi kwenye basi nadhani la Jeingata nilipanda na dada mmoja mkaliz sana na kakamilika kila idara,tulikuwa tumekaa siti tofauti basi ile kumwongelesha akawa anazingua kana kwamba aniju nikapotezea.
Tulipofika mombo jamaa alokaa nae siti moja akashuka basi nikashukuru kimoyo moyo zali limeniangukia,nikahamia siti yake na kuanza kumzingua akaleta nyodo nkaona isiwe tabu.
Tulipoanza kupanda ile milima ya Usambara naona mtu anaanza niongelesha na kunisogelea mara ananikumbatia,kumbe muoga wa milima na kona zile nami kwa uso wa mbuzi nikahama siti.
Mimi hukata kiuno.......jamani jamani.......nitakatika siku hiyo mpaka anielewe..........
Umenkumbusha mwaka juzi nilikuwa naenda lushoto,basi kwenye basi nadhani la Jeingata nilipanda na dada mmoja mkaliz sana na kakamilika kila idara,tulikuwa tumekaa siti tofauti basi ile kumwongelesha akawa anazingua kana kwamba aniju nikapotezea.
Tulipofika mombo jamaa alokaa nae siti moja akashuka basi nikashukuru kimoyo moyo zali limeniangukia,nikahamia siti yake na kuanza kumzingua akaleta nyodo nkaona isiwe tabu.
Tulipoanza kupanda ile milima ya Usambara naona mtu anaanza niongelesha na kunisogelea mara ananikumbatia,kumbe muoga wa milima na kona zile nami kwa uso wa mbuzi nikahama siti.
Huwa namwangalia kwa jicho la huba km hivi...
![]()
Hivi dada zetu pale umwonapo mwanaume amekuvutia huwa mnafanya nini kuashiria umevutiwa nae mfano kwenye usafiri wa uuma na nk.
Mimi nikimwona mtoto kanivutia huwa na smile na kumwangalia sana.
hahahahhaah!!! preta jamani umenichekesha sana. lol
Mimi hukata kiuno.......jamani jamani.......nitakatika siku hiyo mpaka anielewe..........
Mi sinaga kujivunga....
kama 2po kwenye usafiri i think naweza nkajaribu kuongea naye stor za hapa na pale kama akivutiwa i know he will ask 4 my number na kama yuko single na amevutiwa lazima atanitafuta ..
(ni maoni tu)
Huwa namwangalia kwa jicho la huba km hivi...
![]()
Cl kulikoni kuweka picha yako!
utanyeshewa na mvua ya pm hapa afu mtasha amind.....
ndo wewe nini huyu
Nitaashiria kwa wangapi? Mi nakaaga kimya tu najisema dah! kitu hicho.Hivi dada zetu pale umwonapo mwanaume amekuvutia huwa mnafanya nini kuashiria umevutiwa nae mfano kwenye usafiri wa uuma na nk.
Mimi nikimwona mtoto kanivutia huwa na smile na kumwangalia sana.