Kwa wadada tu

Kwa wadada tu

Kama mtu amevutia then yupo karibu na mimi namfuata kwa sura ya upole na tabasamu mwanana kisha namwambia kwa sauti itakayomfanya achanganyikiwe "samahani kaka simu yangu siioni sijuhi nimengusha au nimesahau sehemu pls naomba unibip" kwa vile nitavyomuangalia habishi katu shida yangu namba yake na stori zinaanzia hapo
 
Back
Top Bottom