Kwa wadada hasa walio single

aisee huwezi cheza na feelings za mtu. kuna mtu akipenda anakua kama vile amechanganyikiwa...penzi ni emotions na feelings kuna mtu anapenda kiasi kwamba asipokuona siku nzima anaweza kushikwa na ugonjwa...hizo ideas zako hazitafanya kazi kwa watu wa namna hii
 
Hahaha Mentor mwanzo ilikua tu additional points, now nihuk up weekend au ni practical nini? Hahahah

Babe, kwanini nitumie mate na wino upo? as long as kuna posibility hiyo ya kuongea na kwa ana why not kill two birds with one stone!??
Usiwe na hofu juu ya usalama wako au nia yangu..babu Asprin atakuwepo kusimamia suala hilo.
 
Last edited by a moderator:
Babe, kwanini nitumie mate na wino upo? as long as kuna posibility hiyo ya kuongea na kwa ana why not kill two birds with one stone!??
Usiwe na hofu juu ya usalama wako au nia yangu..babu Asprin atakuwepo kusimamia suala hilo.
Teh teh haya usijali but nawasiwasi hatuko sehemu moja, na je babu Asprin anaaminika?
 
Babe, kwanini nitumie mate na wino upo? as long as kuna posibility hiyo ya kuongea na kwa ana why not kill two birds with one stone!??
Usiwe na hofu juu ya usalama wako au nia yangu..babu Asprin atakuwepo kusimamia suala hilo.
:fish2:

Teh teh haya usijali but nawasiwasi hatuko sehemu moja, na je babu Asprin anaaminika?
Naaminika mpendwa babe S, ndio maana Mentor kakuelekeza kwangu. Wife kanihifadhi hapa waweza kuja nikakuonyesha uaminifu wangu?


Hahahah...babu njoo ujijibie! Asprin.
babe S, nipe location mbona bongo ndogo mno!??
Nshamjibu na location nshampa. Ahsante kwa kunikumbuka kwenye mambo muhimu.
 
Last edited by a moderator:

Tatizo linakuja pale unajifanya biye alafv out put hazioni mfano bize wa masomo alafu sup kibao we unafikili atahisi ni zaidi ya kuona ukikuwa bize na umalaya.
 

mi pia nikikuta mic call nadata ile mbaya
 
huyo jamaa ameshindwa hata kutengeneza mbinu ya kumuacha m2, hata mm kaniboa ila ucjali huwezi jua Mungu amekuandalia nn!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…