nyie wabunge paka siamini kama nyie ndo mlopita kwa wananchi kuomba kura ambazo leo ndo zimewaweka humo bungen. Hii sheria ya mabadiliko Mifuko ya jamii imepitaje au nyie mmeridhika na hivo viposho mnavyopata au wafanyakazi hawawahusu nyie. SASA HIYO SHERIA HATUITAKI NA MUIONDOE SIVYO MWAKA 2015 WOTE HAMRUDI HAPO.