Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,617
- 3,031
Wakuu kwema,
Kama Kuna Mtanzania yeyote anayeishi nchini Singapore pengine kikazi,kibiashara au kimasomo naomba anipe uzoefu wake maana nimepata partial scholarship ya master's hivyo nikahitaji nijue Moja na mbili kuhusu maisha kiujmla yalivyo hapo Singapore na kama kuna kazi za mtaani kusogeza maisha.
Karibuni sana kwa mtu yeyote mwenye uzoefu na hili.
Kama Kuna Mtanzania yeyote anayeishi nchini Singapore pengine kikazi,kibiashara au kimasomo naomba anipe uzoefu wake maana nimepata partial scholarship ya master's hivyo nikahitaji nijue Moja na mbili kuhusu maisha kiujmla yalivyo hapo Singapore na kama kuna kazi za mtaani kusogeza maisha.
Karibuni sana kwa mtu yeyote mwenye uzoefu na hili.