Kwa vip ntajenga imani kwa wanawake wa leo.....?

Kwa vip ntajenga imani kwa wanawake wa leo.....?

Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu.

Nimekumiss sana, Asprin yuko keko, kafumaniwa weekend hii

Ngoja nifanye mchakato wa kumpelekea supu na ndyofu kidogo naiweka kwenye chupa ya maji ya kunywa maana najua atakuwa kaimiss sana
Niko bukheri wa afya kabisa
 
Kuchamba kwingi kuondoka na mavi,
huna sababu ya kumchunguza kiasi hicho!!
Km umempenda mtu kaa nae chini zungumza nae,
lkn si kumfuatilia kinyumenyume matokeo yake utajaza
idadi ya hayo unofuatilia na usiambulie kitu
Ukimchunguza sana bata huwezi kumla

Wana jf wenzangu hebu tufunnzane katika suara zima la la mapenzi, hasa kwa watu tulio SINGLE kwa muda mrefu... nimekuwa nikihaha sana kupata mchumba au GIRLFRIEND ambaye ntampatia mapenzi ya dhati, Sijui tatizo ni vigezo nnavyopendelea ndio kikwazo...
Napenda sana kupata girlfriend ambaye nae yuko single, but kila nnaye trace kidogo utakuta ana wake, au ni mcharuko kiasi... Juzi nlikuwa katika mawindo na upembuzi yakinifu kwa binti mmoja , ni mzuri , simple kwa mwonekano na mavazi.. pale nlipomuona nikasema ngoja nimfuatile leo kidogo daily routine yake, mida ya jioni.. katika kumfuatilia kwa nyuma nikiwa mabali kidogo mara kasimama ktk kichochoro kushoto kuna Pagare. Mara kapiga simu , muda kidogo tu katokea jamaa wakazama kwenye PAGARE , ili kwenda kuchungulia jamaa tayari ana mrambisha:A S kiss: mgegedeo😛izza:. Du fasta nikaondoka kwa huzuni, Kwa kuwa demu huyo nlikuwa namwamini na nlikuwa na mpango nae... Je ni vema kwenda kueleza hisi nlizokuwa nazo kabla hayo, au kupotezea...?
 
Duu! Pole xana. In short kumpata m2 mwenye vigezo vyote unavyotaka ni ngumu. Unaweza mpata demu kicheche na ukawa na uwezo wa kumshepu kitabia. But naamini ukitulia nawe utampata tu ucjali.
 
wanawake wengi sio waaminifu mi mwenyewe jana jioni mpnz wangu kaniambia yupo na mama yake mahali wanakula hatimae hamad namkuta baa ktkt ya wanaume wanakula nyama tena meno yote yakiwa nje kuashiria amefurahia hilo tukio baada ya muda kidogo kanitafuta nikamwuliza upo na mama?kaniambia ndo tumeachana nikamwambia jioni njema na ndio imetoka mtoa mada upo?
 
sangwine, Tengeneza Mtu wa kufanana na wewe
ili ufanikishe ya Moyoni mwako
 
Last edited by a moderator:
Hofu na mashaka ni kwako uliye mbali na upeo wa macho yangu.

Nimekumiss sana, Asprin yuko keko, kafumaniwa weekend hii

Mkuu naongezea;
Dada mpenzi dhumuni la barua hii ni kutaka kujua u mzima, kama mzima, ndio furaha yangu moyoni.
 
Dhumuni la waraka huu kukutaarifu kuwa lile shamba lako la pamba tumemaliza kuvuna na kuuza, tumepata shilingi104.50, tutakutumia kwa hawala ya fedha.


(Juu imeandikwa, guess who?)

Mkuu naongezea;
Dada mpenzi dhumuni la barua hii ni kutaka kujua u mzima, kama mzima, ndio furaha yangu moyoni.
 
Duh... Pole mkuu, kuwa in relation sio issue. Unaweza kupindua na ukachujua jumla. Ukisema ukae usubiri aliye single utakuwa kama unasubiri.meli airport! We pindua kwa kumaanisha na chujua jumla jumla!!!!

Mambo ya kumpora mtu demu wake na ukaoa ndio utakutana na kesi kama ya jamaa aliyemfumania mke wake mwalimu na X wake..

Penzi la kweli halifi kirahisi, we pindua uone kitakachokukuta
 
mh.. kupindua nalo sometimez ni janga.., kwan muosha nae huoshwa...
 
haukuwa na kazi ya kufanya wewe Kha watu wameingia vichochoroni unawafatilia tu
 
Rafiki pole sana, ila kiukweli wanawake wapo wengi sana ambapo utapata wazuri, waaminifu na wenye misimamo. Kama uko makini basi utampata wa kwako, stori za kuwa ana mtu zisikutishe wengine huwa hawana tena ni bikra ila kwakua hawaamini mtu kirahisi au hawana lakusema basi hiyo huwa kisingizio ili kuondoa usumbufu.

Ukiwa makini, mvumilivu na mwenye kuzungumza points za kueleweka utapata mdada mzuri mpaka utashangaa, tena hutahitaji pesa kama wengi ambavyo hudhani. Mwanamke makini huhitaji mume makini na mwenye akili, kujiamini, bidii katika kazi bila kusahau kujali na mapenzi ya dhati.
Kumbuka umakini katika kuchagua ndio chanzo cha furaha katika mapenzi na ndoa kwa ujumla. Songa mbele rafiki.
 
Rafiki pole sana, ila kiukweli wanawake wapo wengi sana ambapo utapata wazuri, waaminifu na wenye misimamo. Kama uko makini basi utampata wa kwako, stori za kuwa ana mtu zisikutishe wengine huwa hawana tena ni bikra ila kwakua hawaamini mtu kirahisi au hawana lakusema basi hiyo huwa kisingizio ili kuondoa usumbufu.

Ukiwa makini, mvumilivu na mwenye kuzungumza points za kueleweka utapata mdada mzuri mpaka utashangaa, tena hutahitaji pesa kama wengi ambavyo hudhani. Mwanamke makini huhitaji mume makini na mwenye akili, kujiamini, bidii katika kazi bila kusahau kujali na mapenzi ya dhati.
Kumbuka umakini katika kuchagua ndio chanzo cha furaha katika mapenzi na ndoa kwa ujumla. Songa mbele rafiki.

Umeeleza vizuri sana..!!
 
Wana jf wenzangu hebu tufunnzane katika suara zima la la mapenzi, hasa kwa watu tulio SINGLE kwa muda mrefu... nimekuwa nikihaha sana kupata mchumba au GIRLFRIEND ambaye ntampatia mapenzi ya dhati, Sijui tatizo ni vigezo nnavyopendelea ndio kikwazo...
Napenda sana kupata girlfriend ambaye nae yuko single, but kila nnaye trace kidogo utakuta ana wake, au ni mcharuko kiasi... Juzi nlikuwa katika mawindo na upembuzi yakinifu kwa binti mmoja , ni mzuri , simple kwa mwonekano na mavazi.. pale nlipomuona nikasema ngoja nimfuatile leo kidogo daily routine yake, mida ya jioni.. katika kumfuatilia kwa nyuma nikiwa mabali kidogo mara kasimama ktk kichochoro kushoto kuna Pagare. Mara kapiga simu , muda kidogo tu katokea jamaa wakazama kwenye PAGARE , ili kwenda kuchungulia jamaa tayari ana mrambisha:A S kiss: mgegedeo😛izza:. Du fasta nikaondoka kwa huzuni, Kwa kuwa demu huyo nlikuwa namwamini na nlikuwa na mpango nae... Je ni vema kwenda kueleza hisi nlizokuwa nazo kabla hayo, au kupotezea...?

Dunia hii ya leo huyo malaika anayekusubiri utampata wapi? Ina maana wewe umekaa bure "mazoezi" hufanyi? Hao unaowafanyia mazoezi pia kuna watu wanawafuatilia. Ndoa ni ajali, jilipue. La maana ni nini kinafuata baada ya ndoa na si kujua ya huko nyuma!!
 
Wana jf wenzangu hebu tufunnzane katika suara zima la la mapenzi, hasa kwa watu tulio SINGLE kwa muda mrefu... nimekuwa nikihaha sana kupata mchumba au GIRLFRIEND ambaye ntampatia mapenzi ya dhati, Sijui tatizo ni vigezo nnavyopendelea ndio kikwazo...
Napenda sana kupata girlfriend ambaye nae yuko single, but kila nnaye trace kidogo utakuta ana wake, au ni mcharuko kiasi... Juzi nlikuwa katika mawindo na upembuzi yakinifu kwa binti mmoja , ni mzuri , simple kwa mwonekano na mavazi.. pale nlipomuona nikasema ngoja nimfuatile leo kidogo daily routine yake, mida ya jioni.. katika kumfuatilia kwa nyuma nikiwa mabali kidogo mara kasimama ktk kichochoro kushoto kuna Pagare. Mara kapiga simu , muda kidogo tu katokea jamaa wakazama kwenye PAGARE , ili kwenda kuchungulia jamaa tayari ana mrambisha:A S kiss: mgegedeo😛izza:. Du fasta nikaondoka kwa huzuni, Kwa kuwa demu huyo nlikuwa namwamini na nlikuwa na mpango nae... Je ni vema kwenda kueleza hisi nlizokuwa nazo kabla hayo, au kupotezea...?

Tatizo unatafuta mwenye BIKIRA, huwezi kumpata. Hao hao wabaya, ukiwaonesha upendo wa kweli anatulia na wewe.
Lazima ukubaliane na changamoto, kwa sababu hamkuzaliwa pamoja. Wewe una tabia zako na yeye anazo za kwake kulingana na mazingira mliyolelewa. Ukijifanya KIFARU, hakuna mwanamke sasa hivi nayetaka kuwa na mwanaume wa ina hiyo, tunapenda kuishi kama malkia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom