Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 3,791
- 3,360
Asbh hii, nimemsikia kiongozi mmoja anahoji, "kwa nini Watalii iwe ni Kaskazini tuu na siyo pengine? Akaendelea, mimi nataka nifungue vivutio vingi kwingine ili watalii wapungue kule Kaskazini waende na kwingine ninakotengeneza vivutio kama vya kule."
Mimi sina mtizamo wa kupinga hoja hii, ila kuna hoja nimeshindwa kuzielewa;
1. Mbuga na vivutio vingine kama Mlima Kilimanjaro viliwekwa na nani?
2. Je, watalii kuongezeka Kaskazini, na mapato kuongezeka ni manufaa kwa nani?
3. Kwa utafiti mdogo, watalii hawaendi sehemu kuona jambo moja tuu, hupendelea zaidi kuona vivutio vingi zaidi wakijua viko sehemu moja. Ukiacha mbuga za wanyama, kuna mfano mlima Kilimanjaro ambao ni kivutio kikubwa barani Afrika. Na huu unaweza kuwa ndiyo kivutio namba moja kwa Kaskazini. Hapa itakuwaje uhamisho wake?
4. Kama lengo ni kulazimisha kutawanya watalii hadi kule wasikotosheleza haja zao, ikatoea wamegairi, fidia ya mporomoko wa hayo mapato, nani awajibike?
Kiujumla, nini mashaka na matamko haya, japo nia ya Kiongozi huyu inaweza kuwa njema, ila tujadili hili.
Mimi sina mtizamo wa kupinga hoja hii, ila kuna hoja nimeshindwa kuzielewa;
1. Mbuga na vivutio vingine kama Mlima Kilimanjaro viliwekwa na nani?
2. Je, watalii kuongezeka Kaskazini, na mapato kuongezeka ni manufaa kwa nani?
3. Kwa utafiti mdogo, watalii hawaendi sehemu kuona jambo moja tuu, hupendelea zaidi kuona vivutio vingi zaidi wakijua viko sehemu moja. Ukiacha mbuga za wanyama, kuna mfano mlima Kilimanjaro ambao ni kivutio kikubwa barani Afrika. Na huu unaweza kuwa ndiyo kivutio namba moja kwa Kaskazini. Hapa itakuwaje uhamisho wake?
4. Kama lengo ni kulazimisha kutawanya watalii hadi kule wasikotosheleza haja zao, ikatoea wamegairi, fidia ya mporomoko wa hayo mapato, nani awajibike?
Kiujumla, nini mashaka na matamko haya, japo nia ya Kiongozi huyu inaweza kuwa njema, ila tujadili hili.