Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Hi!
Nimesikiliza wimbo wa Rose Mhando wa shukrani- Kenya Ulindwe!
Na baada ya kuusikiliza nikajiuliza kwanini hizi baraka zisibaki kwetu au ziende pengine popote?
Kwanini zimuendee Uhuru?
Nikakumbuka pia sakata la vifaranga vya kuku vilivyochomwa moto na ng'ombe zilizotaifishwa na reaction ya Uhuru, nikasema kweli Uhuru ubarikiwe na malango yako yawe salama!
Uhuru ana uhaiba fulani na Kikwete.
Ukimuangalia Kagame unaona Panga na damu, Ukimuangalia Museveni naye Panga na damu, hapo Burundi panga na damu!
Mzee Meko namheshimu sana siwezi kumuongelea, siwezi hata kufunga kamba za viatu vyake!
Uhuru, Mungu akulinde, Uhuru uinuliwe, Uhuru malango yako yabarikiwe, Nasema tena Uhuru, narudia Uhuru, mipaka yako ilindwe!
Mbingu zinene mema, kwaajili yako zinene mema.
Uhuru ubarikiwe pamoja na watoto wako.
Uhuru ulimpokea Lissu na hukufanya hiana!
Uhuru pokea baraka.
Kenya pokeeni baraka kwakuwa mnaye Uhuru!
Nimesikiliza wimbo wa Rose Mhando wa shukrani- Kenya Ulindwe!
Na baada ya kuusikiliza nikajiuliza kwanini hizi baraka zisibaki kwetu au ziende pengine popote?
Kwanini zimuendee Uhuru?
Nikakumbuka pia sakata la vifaranga vya kuku vilivyochomwa moto na ng'ombe zilizotaifishwa na reaction ya Uhuru, nikasema kweli Uhuru ubarikiwe na malango yako yawe salama!
Uhuru ana uhaiba fulani na Kikwete.
Ukimuangalia Kagame unaona Panga na damu, Ukimuangalia Museveni naye Panga na damu, hapo Burundi panga na damu!
Mzee Meko namheshimu sana siwezi kumuongelea, siwezi hata kufunga kamba za viatu vyake!
Uhuru, Mungu akulinde, Uhuru uinuliwe, Uhuru malango yako yabarikiwe, Nasema tena Uhuru, narudia Uhuru, mipaka yako ilindwe!
Mbingu zinene mema, kwaajili yako zinene mema.
Uhuru ubarikiwe pamoja na watoto wako.
Uhuru ulimpokea Lissu na hukufanya hiana!
Uhuru pokea baraka.
Kenya pokeeni baraka kwakuwa mnaye Uhuru!