sio kwamba ni majivuno ila Ina boa trying to express your feelings to someone, na wao Wana jifanya hard to relate or get.Tulinde status 😂🙌🏾
HakikaMara 1 Tu, aki zingua just move on Kuna mambo mengi ya kuzingatia.
Biashara ya kutongoza nilishaikataa. Mimi wa kwangu nilishushiwa!Hvi ukimpenda mwanamke hua unamtongoza marangapi kama hajakukubalia kwa wakati huo??
View attachment 3342119