Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
/Hello JF,
Nimeupitia huu uzi Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?
Tatizo la ajira limekua changamoto kwa wengi, courses hazijawa kuwa za faida kwa wasomi wengi....na wengi kuona wamepoteza muda huko University/College..
Mimi nashauri kuwe na hata kipindi cha nusu saa kwa week ambacho kitakua incorporated kwenye curriculum ya A-Level students, Katika kipindi kuwe na discussions za employment ONLY.
Kila shule kuwe na Independent Advisor ambae kazi yake ni kufanya research wapi pana opportunities za kazi na hivyo kudiscuss na wanafunzi options walizonazo.....kwa mfano wale wanaosoma mchepuo wa science, advisor atadiscuss na wanafunzi options walizonazo..sio kung'ang'ania Medicine na Engineering peke yake ...
Michepuo mingine hivyo hivyo, wanafunzi wasaidiwe ku explore their interests, identify skills gap, what to expect on chosen career path,and how to match those interests/skills and job descriptions/requiremenrs…..,in this way mwanafunzi kabla ya kuingia Chuo anajua exactly what he/ she wants, what to expect on the course and what will the degree take him/her.
I am sure this will solve the misery among our graduates and save millions of wasted money on courses ambazo hazina matokeo chanya!
Sijui kama website kama hii ipo,lakini ningependa kuona kitu kama hiki.. 👉👉👉Prospects.ac.uk
Nimeupitia huu uzi Kozi gani umesoma ambayo huwezi kumshauri mtu mwingine aisome?
Tatizo la ajira limekua changamoto kwa wengi, courses hazijawa kuwa za faida kwa wasomi wengi....na wengi kuona wamepoteza muda huko University/College..
Mimi nashauri kuwe na hata kipindi cha nusu saa kwa week ambacho kitakua incorporated kwenye curriculum ya A-Level students, Katika kipindi kuwe na discussions za employment ONLY.
Kila shule kuwe na Independent Advisor ambae kazi yake ni kufanya research wapi pana opportunities za kazi na hivyo kudiscuss na wanafunzi options walizonazo.....kwa mfano wale wanaosoma mchepuo wa science, advisor atadiscuss na wanafunzi options walizonazo..sio kung'ang'ania Medicine na Engineering peke yake ...
Michepuo mingine hivyo hivyo, wanafunzi wasaidiwe ku explore their interests, identify skills gap, what to expect on chosen career path,and how to match those interests/skills and job descriptions/requiremenrs…..,in this way mwanafunzi kabla ya kuingia Chuo anajua exactly what he/ she wants, what to expect on the course and what will the degree take him/her.
I am sure this will solve the misery among our graduates and save millions of wasted money on courses ambazo hazina matokeo chanya!
Sijui kama website kama hii ipo,lakini ningependa kuona kitu kama hiki.. 👉👉👉Prospects.ac.uk