alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Jana lilimunukuu CAG kwamba eti amejibu kuhusu wito wa Mh Spika ilhali si kweli!
Jana baada ya kutakiwa wathibitishe wakakimbilia kuomba msamaha.Leo tena wamebadili gia angani na wamedai CAG hakumjibu Mh Spika.
Sasa hawa waandishi wasio kuwa makini na waokoteza habari za mtaani gazeti Lao likifungiwa wamlaumu nani ilhali wao ndiyo wazembe wa kutokujiridhisha na habari endapo ni ya kweli au la!?
Jana baada ya kutakiwa wathibitishe wakakimbilia kuomba msamaha.Leo tena wamebadili gia angani na wamedai CAG hakumjibu Mh Spika.
Sasa hawa waandishi wasio kuwa makini na waokoteza habari za mtaani gazeti Lao likifungiwa wamlaumu nani ilhali wao ndiyo wazembe wa kutokujiridhisha na habari endapo ni ya kweli au la!?