Gazeti la Tanzania Daima linashindwa cha kuandika kwa mrengo wa kupinga linaishia kuipamba Serikali

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,502
2,046
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu

Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena?

Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
 
Limelamba asali
IMG-20220604-WA0099.jpg
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Hujalazimishwa kulisoma wewe kasome vijarida vyenu vya kina Habibu
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Gazeti ndo limetoka kufungiwa. Wapeni muda wajipange kwanza. Isitoshe Delilah na kundi lake la akina Kigogo ndo wako madarakani sasa hivyo siri za serikali hazivuji hovyo hovyo tena. Gazeti litaibua siri gani tena?

Kuweni na subira!

IMG-20220604-WA0106.jpg
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Sukuma Gang mna gubu kweli kama vipi rudini kwenu Burundi
 
Nawaona sukuma gang mmekasilika nusu kupasuka shenzi
Mkuu. Unaporomosha matusi kwa ajili ya hiyo katuni?

Wenye gazeti wameshakubali Mama anaupiga mwingi. We utatukana humu mpaka umalize matusi yote na hakuna kitu utafanya!
IMG-20220605-WA0044.jpg
 
Acha pro
Limelamba asali
Acha propaganda uchwara wewe. Sasa kama mambo waliyokuwa wakiyalalamikia yameanza kufanyiwa kazi, ulitaka waendelee na uandishi uleule? Elewa Nchi iko kwny mchakato wa maridhiano. Ni win-win situation/Yaani give and take.
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Acha propaganda uchwara wewe. Sasa kama mambo waliyokuwa wakiyalalamikia yameanza kufanyiwa kazi, ulitaka waendelee na uandishi uleule? Elewa Nchi iko kwny mchakato wa maridhiano. Ni win-win situation/Yaani give and take.
 
Limelamba asali
Acha propaganda uchwara wewe. Sasa kama mambo waliyokuwa wakiyalalamikia yameanza kufanyiwa kazi, ulitaka waendelee na uandishi uleule? Elewa Nchi iko kwny mchakato wa maridhiano. Ni win-win situation/Yaani give and take.
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Kwani Absalom Kibanda anafanya kazi gazeti gani?

Je! lile salio analotumiwa na samia kwenye simu huwa la kazi gani?
 
Hili ni gazeti lilijizolea umaarufu siku za nyuma kwa kuanika maovu mbalimbali ya watendaji wa serikali na chama tawala.

Lakini Kwa sasa hali ni tofauti sana hakuna tena zile habari za kusisimua ambazo zilikua zikitufungua wananchi macho na maskio ili kujua mambo mbalimbali maovu yanayoendelea kwenye nchi yetu
Naomba wenye kujua nini kimewapata hawa jamaa. Je wamebadili sera? Hakuna maovu tena? Wameondokewa na waandishi mahiri? Wamenunuliwa na serikali? Au uoga tu.?
Anzisha Gazeti lako Kama unalakuandika ambalo Tanzania Daima hawaliandiki....
 
Kwa undani.ni habari ipi ambayo hilo gazeti halikuandika.wacha porojo zako,hata wakati ule zile habari hazikwa za kupinga kama unayo taka kutuaminisha.
 
Acha pro

Acha propaganda uchwara wewe. Sasa kama mambo waliyokuwa wakiyalalamikia yameanza kufanyiwa kazi, ulitaka waendelee na uandishi uleule? Elewa Nchi iko kwny mchakato wa maridhiano. Ni win-win situation/Yaani give and take.

Acha propaganda uchwara wewe. Sasa kama mambo waliyokuwa wakiyalalamikia yameanza kufanyiwa kazi, ulitaka waendelee na uandishi uleule? Elewa Nchi iko kwny mchakato wa maridhiano. Ni win-win situation/Yaani give and take.
Kwa hiyo hata kupanda kwa bei ya nondo, Bati, saruji, bando za internet, mafuta ya kupikia, mbolea n.k wameridhiana ikae kama ilivyo? Asali wamelamba.
 
Kwa hiyo hata kupanda kwa bei ya nondo, Bati, saruji, bando za internet, mafuta ya kupikia, mbolea n.k wameridhiana ikae kama ilivyo? Asali wamelamba.
Wewe umekatazwa kuyaandikia? Walifungiwa ukashangalia, wamefunguliwa unata kuwapangia cha kuandika, ninyi watu hamueleweki.
 
Back
Top Bottom