Hakika haya maneno hata malaika mbinguni wameyaunga mkonoMkuu hujui mpira wewe.
Unaonekana unafata upepo unakoenda na baadae utabadilika Chelsea kuongoza ligi kwa point 3 Wewe ndio unaona watachukua ligi?
Chelsea haina wachezaji wakuwapa ubingwa wa Epl mkuu ni swala la muda tu.
Ratiba ya chelsea mechi tatu za mwisho amecheza na atacheza na timu tatu za mwisho kwenye ligi sasa wewe ukiona chelsea anashinda unaona ndio mabingwa hao.
Timu Liverpool pia huijui vizuri wewe unaangalia mpira kwenye livescore halafu unakuja kupiga kelele huku.
Hivi unakumbuka liverpool mara ya mwisho kufungwa lini?
Tunaifadhi hayo maneno yako.
Ila unavyoonekana hui pendi Liverpool na wewe sio msema kweli.
Bayern hao wenyewe wanawaogopa Liverpool
Unakumbuka na ubora wao walifanywa nini hapo Allianz arena na Liverpool akaenda kuchukua ubingwa.
Liverpool itachukua ucl na Epl.
Usiache kuangalia mpira kwenye livescore na kujakuwaongopea watu .
Asante burnley kwa kazi nzuri sana!!
Oya pale kwa wagonga nyundo pagum sana pale!!Tuone kama liverpool atachomoka!!Enhee kwaiyo saivi nan mwingine unamuona bingwa Arsenal au!!? Maana Chelsea kadroo na Burnley aliyepo dhoofu bin taabani bora hata aliyedroo na Brentford na Brighton
Oya pale kwa wagonga nyundo pagum sana pale!!Tuone kama liverpool atachomoka!!Enhee kwaiyo saivi nan mwingine unamuona bingwa Arsenal au!!? Maana Chelsea kadroo na Burnley aliyepo dhoofu bin taabani bora hata aliyedroo na Brentford na Brighton
Mbona umeandika kwa papara sana kama unakimbizwaU
Umeandika nini..? Liverpool.katoka draw na Chelsea pale anfield tena chelsea akiwa pungufu mtu mmoja ilikua liverpool apigwe kama zote sema ile kadi nyekundu ya james sasa hao.liver wakufugwa na brentford wabebe ubingwa...? Labda wa uji . Akija Stamford bridge tunamkamua saaana akienda kule et hadi anakamuliwa saaana na man u watapata draw pale anfield marudiano bado hao.kina astaon vila tottnham arsenal nk.mtawaachia pointliverpool hamna chenu tuachieni tu kombe letu chelsea na wiki hii mnapigwa
Droo ya 3-3 dhidi ya Brentford na 2-2 dhidi ya Brighton umehitimisha juhudi zao kuelekea ubingwa wa epl msimu huu!Liverpool wasahau kabisa kwa uzembe waliuonyesha!!
Chelsea ni timu iliyokamilika kwa kila idara!Nawakabidhi ndoo yao!!
Man utd wana mabosi mabogasi kabisa hivi Ole anafanya nini pale?hadi mnamwacha Conte anaenda spurs??????Man city msimu huu siwapi nafasi ya ubingwa wa epl wana tatizo la mentality!!
Klopp ajikite kwenye Uefa labda atabeba lakini kuna Bavarians wako fiti kinoma noma!!
Mentality monsters wamekua the opposite!!
U
Umeandika nini..? Liverpool.katoka draw na Chelsea pale anfield tena chelsea akiwa pungufu mtu mmoja ilikua liverpool apigwe kama zote sema ile kadi nyekundu ya james sasa hao.liver wakufugwa na brentford wabebe ubingwa...? Labda wa uji . Akija Stamford bridge tunamkamua saaana akienda kule et hadi anakamuliwa saaana na man u watapata draw pale anfield marudiano bado hao.kina astaon vila tottnham arsenal nk.mtawaachia pointliverpool hamna chenu tuachieni tu kombe letu chelsea na wiki hii mnapigwa
Nadhan Sasa ataelewa katika soka hatuangalii umeanzaje Bali umemalizajeMkuu hujui mpira wewe.
Unaonekana unafata upepo unakoenda na baadae utabadilika Chelsea kuongoza ligi kwa point 3 Wewe ndio unaona watachukua ligi?
Chelsea haina wachezaji wakuwapa ubingwa wa Epl mkuu ni swala la muda tu.
Ratiba ya chelsea mechi tatu za mwisho amecheza na atacheza na timu tatu za mwisho kwenye ligi sasa wewe ukiona chelsea anashinda unaona ndio mabingwa hao.
Timu Liverpool pia huijui vizuri wewe unaangalia mpira kwenye livescore halafu unakuja kupiga kelele huku.
Hivi unakumbuka liverpool mara ya mwisho kufungwa lini?
Tunaifadhi hayo maneno yako.
Ila unavyoonekana hui pendi Liverpool na wewe sio msema kweli.
Bayern hao wenyewe wanawaogopa Liverpool
Unakumbuka na ubora wao walifanywa nini hapo Allianz arena na Liverpool akaenda kuchukua ubingwa.
Liverpool itachukua ucl na Epl.
Usiache kuangalia mpira kwenye livescore na kujakuwaongopea watu .
Sisi kilichotugharimu ni injury za Benchilwell ,James na Kante tangu waumie tukaanza kuyumbaVipi Na chelsea yako sasa hivi mnashika nafasi ya kwanza,nilikuambia wewe.saizi unaona aibu.
Pamoja na COVID-19 sababu karibuni zaidi ya wachezaji 9 waliumwa na hakukuwa na excuse yoyote ya kughairi mechiSisi kilichotugharimu ni injury za Benchilwell ,James na Kante tangu waumie tukaanza kuyumba
Sisi kilichotugharimu ni injury za Benchilwell ,James na Kante tangu waumie tukaanza kuyumba