Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

Kwa usaliti huu ntajifikiria sana

Usiseme maneno aliyosema huyo dada, naogopa mumewe asije akawa mwanaJF mwenzetu halafu ikavunjika ndoa na akachukia JF milele
 
WADAU siku ya jana nilikuwa na demu mmoja hivi ambaye ni mke wa mtu ila huyo jamaa akealisafiri sasa kuna muda jamaa ake akampigia simu yule demu duh jamaa alivyodanganywa ni noma aisee imeniogopesha sana na kunifanya nijifikirie mara mbilimbili kuoa ama kutooa kumbe kwenyendoa ndo kupo hivi
Wewe ndio ulikuwa nae na ulijua kabisa kwamba huyo dem ameolewa ina maana wewe ulikuwa unaona raha kumdabua mke wa watu sio?
 
agekuwa mke wako au ungekuwa ni wewe unatendewa hivyo ungejifikiriaje? msijisifie sikuhizi wengi wanaweka vitu vyao unaweza acha kitu ndani au kung'ang'ania kuweni makini kama sio hivyo unaiona afya inazoofika kumbe jamaa kesha maliza kazi kuweni makini na sikuleta ujinga kama huu wa kusifiana

mjinga ni yule anaye ingia kwenye ndoa na kutotarajia kupitiwa mbavuni. wewe siku hizi ulijue kabisa kuwa K ya mke wako mtakuwa mnashare na vijamaa
 
jamani mimi narudia tena nilikuwa sifahamu kama ni mke wa mtu na nilijilaumu sana kwa hilo nililofanya all in all tukubali USALITI katika NDOA kwa sasa ni mkubwa sana jamani mara ngapi tunashuhudia makanisani,makazini, na sehemu kadha wa kadha hii kitu lazima tukubali usaliti katika ndoa upo tena kwa kiasi kikubwa sana
 
kwanini unaharibu ndoa za watu? hujui kwamba ndoa ni taasisi ambayo Mungu anaiheshimu sana, shauri yako unajitafutia laana bure.
 
Wote walewale,tena huyo mwanamke ndo mwasherati wa kutupwa,wewe una mume wako unaangaika na vijana mtaani wanini?hapa wanawake hujishushia heshima kwa kutumika kama CHOMBO CHA STAREHE
 
Back
Top Bottom