Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,111
Hii ni kwa wanywaji na wapenzi wa ulabu.
Kuna pombe mpya imeingia mjini inaitwa KITOKO. Hii sio pombe ya kawaida ni hatarious mno. Ipo kwenye vifungashio vya makopo ya plastic yaliyopendekezwa na serikali, Ina rangi nyekundu na imeandikwa kuwa Ina kilevi cha 40%..... Ambao sidhan Kama ni ukweli.
Kwa waliowahi kuionja watakuwa na Simulizi zake tofauti kabisa. Ni pombe ambayo naamini mtengenezaji wake ametengeneza kwa teknolojia ya kizamani kiasi kwamba zile sifa zote za pombe za zamani zipo kwenye hii KITOKO.
Kwanza ni pombe ambayo ukinywa kuna uwezekano mkubwa wa kupigana bar...
Pili unaweza ukajikuta umesahau kwako na kuanza kuzunguka mtaani Kama umelogwa...
Kulala mtaroni ni jambo la kawaida sanaaaaaa.....
Kuongea lugha za kigeni kwa ufasaha ni sifa nyingine ya hii KITOKO.
Nazungumza haya kwa sababu nimeyashuhudia huku nilipo.
Wito:
Naomba Wakati mamlaka husika ikiwamo TFDA wanachunguza viwango vya huu ulabu, wanywaji wenzangu Hebu tuususie kidogo...
Madhara ni Mengi mno.
Naomba kuwasilisha.
Kuna pombe mpya imeingia mjini inaitwa KITOKO. Hii sio pombe ya kawaida ni hatarious mno. Ipo kwenye vifungashio vya makopo ya plastic yaliyopendekezwa na serikali, Ina rangi nyekundu na imeandikwa kuwa Ina kilevi cha 40%..... Ambao sidhan Kama ni ukweli.
Kwa waliowahi kuionja watakuwa na Simulizi zake tofauti kabisa. Ni pombe ambayo naamini mtengenezaji wake ametengeneza kwa teknolojia ya kizamani kiasi kwamba zile sifa zote za pombe za zamani zipo kwenye hii KITOKO.
Kwanza ni pombe ambayo ukinywa kuna uwezekano mkubwa wa kupigana bar...
Pili unaweza ukajikuta umesahau kwako na kuanza kuzunguka mtaani Kama umelogwa...
Kulala mtaroni ni jambo la kawaida sanaaaaaa.....
Kuongea lugha za kigeni kwa ufasaha ni sifa nyingine ya hii KITOKO.
Nazungumza haya kwa sababu nimeyashuhudia huku nilipo.
Wito:
Naomba Wakati mamlaka husika ikiwamo TFDA wanachunguza viwango vya huu ulabu, wanywaji wenzangu Hebu tuususie kidogo...
Madhara ni Mengi mno.
Naomba kuwasilisha.