Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,870
CCM wanatuangusha sana mkuu.Siasa zetu za ndani zimetupumbaza hadi zimeanza kuvuka mipaka, ni ujinga.
Kwa kitendo hiki CCM wamefaidika nini kwa vile nafasi bado ni za Chadema na inawezekana wakarudishwa wale wale wakaongezewa mwanamke mmoja tu CCM wakalazimishwa kuchagua wawili kati ya watatu.