Kwa ujinga huu ni ndoto Tanzania kuwa 'Super Power' kwenye ukanda wa EAC

Chadema wanajua wao hawana turufu huko na mara nyingine wanaonewa wazi wazi halafu wamejipeleka mtegoni kirahisi, lazima wangelizwa tu.
Sidhani kama walikosa watu wanne makini huko kwenye chama. Hapa walichemka.
 
Mlishangiria Ubinafsi
mkaona kama ACT itapata si chama cha Tanzania
leo mmeanza kulialia
hahaha nabado
mtulie dawa iwaingie

Dawa ya moto ni moto
Safi sana wabunge
Chadema wameambulia ZERO
Kwani nafasi za Chadema zimejazwa na wagombea wa chama gani.
 
Chadema anamkomoa act,ccm anawakomoa chadema na cuf tuongeze wingi wa wajumbe zaidi ya hapo ni kujaza ndoo kwa machozi!
 
Hao kenya unaowasifia mbona bomba la halikupita kwao?.....Acha mbwembwe!...
Akina wenje si walikua wanongoza wenzie ili wa toke bungeni?
 
No wonder kwanini Tanzania tunaendelea kuburuzwa na kutengwa kwenye EAC, kama tutaendelea kupeleka wawakilishi EALA kwa mihemko ya kisiasa, yaani unampeleka Fancy kutetea taifa kufanya lobbying mbele ya wanasheria nguli kutoka Kenya, Uganda unawaacha wanasheria wazoefu kina Taslima, Macha kwa vile tu ni wapinzani, unamwacha memba mzoefu Zainabu Kawawa? Unamwacha Wenje kwa vile tu chama chake hakikuleta mwanamke? Unamwacha Makongoro aliyefanya lobbying hadi bomba la mafuta toka Uganda likapita Tanzania? Kweli?

Kwenye suala la ku serve national interests wanaCCM wenzetu hebu tuwe serious kidogo tuondoe uvyama, kule hawaendi kuwakilisha CCM wala Chadema wanakwenda kuwakilisha nchi.

Wenzetu huko Wakenya kwa mfano when comes issue ya kutetea nchi yao wako very serious and strong wanaleta competent representatives ndio maana labda wana maendeleo kutuzidi, sidhani kwenye bunge kama hili huwa wanaleta vitoto vitoto vya kuuza sura kama tunavyofanya sisi, that is why may be Kenya is becoming the super power among member states of the community, wengine tutabaki kulialia tu Kenya wanautumia mlima Kilimanjaro wanachukua watalii wetu kumbe tatizo ni sisi hatuna watu wa ku-defend our national interests. Tubadilike.
Yaani Mimi nimeshangazwa na kufedheheshwa sana na jambo hili. Kwa kweli nilichokielewa ni kuwa kuna udhaifu kwenye kulinda maslahi ya nchi.
 
No wonder kwanini Tanzania tunaendelea kuburuzwa na kutengwa kwenye EAC, kama tutaendelea kupeleka wawakilishi EALA kwa mihemko ya kisiasa, yaani unampeleka Fancy kutetea taifa kufanya lobbying mbele ya wanasheria nguli kutoka Kenya, Uganda unawaacha wanasheria wazoefu kina Taslima, Macha kwa vile tu ni wapinzani, unamwacha memba mzoefu Zainabu Kawawa? Unamwacha Wenje kwa vile tu chama chake hakikuleta mwanamke? Unamwacha Makongoro aliyefanya lobbying hadi bomba la mafuta toka Uganda likapita Tanzania? Kweli?

Kwenye suala la ku serve national interests wanaCCM wenzetu hebu tuwe serious kidogo tuondoe uvyama, kule hawaendi kuwakilisha CCM wala Chadema wanakwenda kuwakilisha nchi.

Wenzetu huko Wakenya kwa mfano when comes issue ya kutetea nchi yao wako very serious and strong wanaleta competent representatives ndio maana labda wana maendeleo kutuzidi, sidhani kwenye bunge kama hili huwa wanaleta vitoto vitoto vya kuuza sura kama tunavyofanya sisi, that is why may be Kenya is becoming the super power among member states of the community, wengine tutabaki kulialia tu Kenya wanautumia mlima Kilimanjaro wanachukua watalii wetu kumbe tatizo ni sisi hatuna watu wa ku-defend our national interests. Tubadilike.
Hakuna mtu au kikundi fulani chenye umiliki wa kutuwakilisha katika EALA!hiyo ndiyo demokrasia!
 
Mnyaa hakustahili kuchaguliwa. Taslima yuko vizuri kisiasa, hivi kweli Mnyaa Engineer ana uwakilishi gani kwa EAC paliposheheneni Wanasheria nguli Na Business professionals? English yenyewe 13%.
Chuki binafsi!kwa nini we we hukujitokeza?
 
No wonder kwanini Tanzania tunaendelea kuburuzwa na kutengwa kwenye EAC, kama tutaendelea kupeleka wawakilishi EALA kwa mihemko ya kisiasa, yaani unampeleka Fancy kutetea taifa kufanya lobbying mbele ya wanasheria nguli kutoka Kenya, Uganda unawaacha wanasheria wazoefu kina Taslima, Macha kwa vile tu ni wapinzani, unamwacha memba mzoefu Zainabu Kawawa? Unamwacha Wenje kwa vile tu chama chake hakikuleta mwanamke? Unamwacha Makongoro aliyefanya lobbying hadi bomba la mafuta toka Uganda likapita Tanzania? Kweli?

Kwenye suala la ku serve national interests wanaCCM wenzetu hebu tuwe serious kidogo tuondoe uvyama, kule hawaendi kuwakilisha CCM wala Chadema wanakwenda kuwakilisha nchi.

Wenzetu huko Wakenya kwa mfano when comes issue ya kutetea nchi yao wako very serious and strong wanaleta competent representatives ndio maana labda wana maendeleo kutuzidi, sidhani kwenye bunge kama hili huwa wanaleta vitoto vitoto vya kuuza sura kama tunavyofanya sisi, that is why may be Kenya is becoming the super power among member states of the community, wengine tutabaki kulialia tu Kenya wanautumia mlima Kilimanjaro wanachukua watalii wetu kumbe tatizo ni sisi hatuna watu wa ku-defend our national interests. Tubadilike.
KWangu mimi, hu ni uzi wa mwezi na in fact naweza sema hu ni uzi wa maana No 1 kwa robo ya kwanza wa mwaka 2017. Kwa CCM ni bora Tanzania iangamie but ccm ibaki. Well said brother.
 
Bunge letu bora tu rais alitumbue, hakuna cha msingi linachokifanya zaidi kuwa kichaka cha matusi,
Namnukuu, Ndugui, ,"Leteni barua, mnatembea kama kobe".
 
Wenje hata Mimi simkubali,Masha ni sawa.Wenje huenda anafiti siasa za kitanzania tu!
Watu waache ushabiki jamani. Wenje hana uwezo, na watu wajifunze kutofautisha kupiga kelele na uwezo. Wenje ni mpiga kelele. Hana tofauti na yule Machali
 
Mlishangiria Ubinafsi
mkaona kama ACT itapata si chama cha Tanzania
leo mmeanza kulialia
hahaha nabado
mtulie dawa iwaingie

Dawa ya moto ni moto
Safi sana wabunge
Chadema wameambulia ZERO
Tumia akili kidogo tu then utagundua ACT haikufanyiwa fitina bali kanuni ndio zilizo wakataa! Wanae mbunge 1 tu so wamekosa sifa, basi.
 
Hao kenya unaowasifia mbona bomba la halikupita kwao?.....Acha mbwembwe!...
Akina wenje si walikua wanongoza wenzie ili wa toke bungeni?
Ndio maana najiuliza inakuwaje tunawatoa waliofanikisha bomba lipite Tanzania kina Taslima, kina Makongoro, kina Kawawa tunampeleka mtu aliyesomea usecretary ku negotiate ushuru wa forodha.
 
Chadema had nothing to lose kama wangepeleka hata watu watatu kwa kila nafasi kwa vile wangekuwa wametoka kwao wenyewe. Matokeo ya hapana ndiyo yaliyopatikana, ni kuyakubali tu.

Hata hivyo Tanzania itakuwa na nafasi chache za uwakilishi sababu za siasa za vyama. Pande zote wajinga tu.
 
Ccm tangu lini wakawa na uchungu na nchi? Unaelewa hata ushindi wao wa kuingia bungeni wengi wao ulikuwa ni wa aina gani. Ukiwa na wabunge wasio na sifa, unategemea wafanye maamuzi ya kiwango gani? Hao ndio wabunge wa ccm waliopelekwa bungeni kwa nguvu za ubabe wa jk na policcm
 
Ndio mkuu, wabunge wa CCM wangekuwa na mantiki kama kina Macha na Wenje wangekuwa wanakwenda kufanya kampeni ya Chadema lakini wanakwenda kutetea mlima Kilimanjaro usitumike hovyo, kulinda heshima ya Mtanzania awe Chadema au CCM, kutetea aridhi isitumiwe hovyo na wageni. Sasa unapopeleka mtu ambaye hata kujieleza hawezi unamkomoa nani.
chama cha kina bashite ni shida
 
Depends on the area you are serving, but when comes to negotiation table of different contracts like EAC Treaty knowledge of law matters a lot.
Si kweli hata kidogo kijana, acha kukalili kila kitu.....hakuna jambo linaloweza kukubaliwa bila nchi husika na wataalamu wake kuafiki. Si wabunge tu.
 
Back
Top Bottom