mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 614
- 322
Wana JF natumai miwazima
Nimepata rafiki ktk huu mtandao ni wa kiume kama mm tunawasiliana sn kwa simu nampigia ila yy huishia kutuma sms tuu sio mbaya kwangu kwani anadai hali yake ni ngumu kimaisha na hana kazi.
Kilichonifanya niandike hapa na kutaka ushauri ni kua huyu rafiki yangu shida hazimuishi kila kukicha mara mmna shida ya msimbazi (10000) mara kiboki (5000) mi sina hiana nikiwa nayo namtumia nimeshamtumia zaidi ya 50000 wala hanijui nami simjui hatujawahi kuonana napenda sana kumashauri mambo ya maendeleo ili ajikimu kimaisha ila haonekani kua na muamko wowote.
Jamani nimeshindwa kujitambua kua ananichukuliaje kua mm ni rafiki yake au mzazi wake?
Kumchumia mwanaume mwenzako alie na nguvu asietaka kujituma si bora niowe nitapata faida
Hebu nishaurini jamaa nimpotezee maana naona kwangu imekua mtihani karibu ya kushindwa.
Nimepata rafiki ktk huu mtandao ni wa kiume kama mm tunawasiliana sn kwa simu nampigia ila yy huishia kutuma sms tuu sio mbaya kwangu kwani anadai hali yake ni ngumu kimaisha na hana kazi.
Kilichonifanya niandike hapa na kutaka ushauri ni kua huyu rafiki yangu shida hazimuishi kila kukicha mara mmna shida ya msimbazi (10000) mara kiboki (5000) mi sina hiana nikiwa nayo namtumia nimeshamtumia zaidi ya 50000 wala hanijui nami simjui hatujawahi kuonana napenda sana kumashauri mambo ya maendeleo ili ajikimu kimaisha ila haonekani kua na muamko wowote.
Jamani nimeshindwa kujitambua kua ananichukuliaje kua mm ni rafiki yake au mzazi wake?
Kumchumia mwanaume mwenzako alie na nguvu asietaka kujituma si bora niowe nitapata faida
Hebu nishaurini jamaa nimpotezee maana naona kwangu imekua mtihani karibu ya kushindwa.