KARIBU SANA KWENYE UALIMU.Nimemalza kidato Cha sita mchepuo wa HKL na Nina ufaulu wa div1.9 ...
ila linalo nitatiza ni course ipi nichague na mimi napenda IT ilihali nimesoma Art.
Naombeni ushauri ni kipi naweza somea na hata mwisho wa siku niweze kuji ajiri
Umemaliza mkuuKARIBU SANA KWENYE UALIMU.
Kwa sababu huwezi fika form IV haujui unahitaji nini!kwann umeon ushauri huo ni Bora??
Huko hakuna IT halisi, IT halisi gani ambayo mpaka mwaka huu bado wanafundisha mambo ya mwaka 1973?Siku hizi vyuo viko vingi ni pesa yako tu! Kuna Eagles wings college,Amazon, Sijui Datastar yaani ni wewe tu.Lakini sahau kuhusu UDSM,DIT na vyuo vingine vikubwa ambapo ndio penye IT halisi.
nashukuru Sana ila kuna vyuo kama IAA Mzumbe ya mbea na vingine ...Siku hizi vyuo viko vingi ni pesa yako tu! Kuna Eagles wings college,Amazon, Sijui Datastar yaani ni wewe tu.Lakini sahau kuhusu UDSM,DIT na vyuo vingine vikubwa ambapo ndio penye IT halisi.
ok...Kwa sababu huwezi fika form IV haujui unahitaji nini!
Sasa wewe ushafika hadi form VI ndo unaanza kuuliza masuala ya IT wakati Combination haziruhusu.
Apo jiandae kusoma ualimu, lugha na ustawi wa jamii.
Maybe utumie cheti cha form IV kwenda course za IT