Kwa Uchunguzi wa gazeti la PAMBAZUKO kuhusu Shambulio la KITIMA, Ni wazi Waliomteka Mdude Ni walewale

Kwa Uchunguzi wa gazeti la PAMBAZUKO kuhusu Shambulio la KITIMA, Ni wazi Waliomteka Mdude Ni walewale

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Baada ya Shambulio la KITIMA , RPC Muliro akajiwahi kutoa Taarifa yenye lengo la kupotosha .

Baada ya Shambulio la Mdude, RPC Mbeya akajiwahi nayeye kutoa tamko kwamba hawajamkamata Mdude.

Sasa haya ni maneno niloyanukuu kwenye habari chunguzi za PAMBAZUKO kuhusu Shambulio la KITIMA

Imebainika kuwa kati ya miezi miwili hadi mitano iliyopita, mwanamume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 50, alipanga nyumba katika eneo karibu na makao makuu ya TEC.

Mnaweza kukumbuka, Yule Mzee wa Mbeya ambaye alitoa taarifa kuhusu Mapolisi kumfata awasaidie kumpata Mdude...... Mzee anadai Afande Shabani na wengine walimuomba aende Tukuyu huko,
watampangia Nyumba
, na kumpa Pesa anayotaka.

Soma Pia: Padri Kitima adaiwa kushambuliwa usiku huu. Inadaiwa hali yake ni mbaya

Hapa Hoja yangu katika Matukio yote mawili ni KUPANGA NYUMBA KARIBU NA WAHANGA

Sakata la kutekwa kwa Mdude unaweza kulisoma hapa
Pre GE2025 - Mdude Nyagali adaiwa kukamatwa na kupigwa na watu waliojitambulisha Polisi

ITOSHE kusema, hakuna MTU wa kawaida awe jambazi, mwizi au kibaka, anayeweza kua na akili ya Kupanga NYUMBA Jirani na muhanga , Kwa miezi ili tu kupata taarifa zinazoweza fanikisha kusudi lake.

Mambo haya Huwa yanapangwa na watu wenye 'Taaluma za Ujasusi'. Na Kwa Tanzania Watu Hawa ni ama JESHI LA POLISI TANZANIA au USALAMA WA TAIFA au CCM GRINIGADI .



Hawa watatu wanajua anayehusika na Mauaji ,utekaji nchini Tanzania.
 
Sidhani ni polisi wa kawaida au usalama wa taifa wala vilaza wa Green Gurd Bali ni kikosi maalum kama kile cha Magu,Sabaya na Bashite
 
Agenda ipo Kwa mfalme .

Tusubiri Tu .muda NI mwalimu tosha
 
Haha hivi mdude mikwara mingi mpaka sasa ajarejea?

Wembe aliomyolea Magu au sio😅😅
 
Grinigadi ni kinyonga, kuna wakati anakuwa jungleguard in colour na wakati mwingine kama wale wa in civilian.
Kumpoint muhusika ni ngumu maana ule ni utatu haramia.
 
Back
Top Bottom