Kilichofanywa na ccm ni mwendelezo wa unafiki wao wa kuwahadaa watz kwamba wamechukua hatua ilhali hakuna kitu wanachofanya. Hivi EL nategemea kugombea nafasi gani ndani ya miezi 12 kuanzia jana!!!? Total hipocrite!
Pasco ie mleta mada ni kchumia tumbo, njaa. Bwana wake amepigwa stop...hapa ni taifa kwanza pesa baadae
Umesisimka sana? Jamaa ana mvuto ee?
Mkuu wangu Pasco, mbona kama umedondoka jukwaani ukiwa na jazba? Kwani katiba ya CCM inasemaje linapokuja suala la wanachama wake kufanya vitendo vinavyoashiria kampeni za mapema? Umeona hapo kwenye RED? Unaweza ku-connect dots hapo? Manake hapo kwenye RED ni kama umetaja jina la mtu na kwamba hasira zako ndipo zilipojikita...ni hisia zangu tu!!Wanabodi,
Nimesoma maamuzi ya CC ya CCM kuhusu wanaotuhumiwa kuanza harakati za kuusaka urais wa 2015.
Uamuzi wenyewe ni huu
Natoa wito kwa wale wote wenye nia njema na taifa hili, waliochoshwa na umasikini wa Watanzania, walipuuze kabisa tamko hili la CCM, na kuendelea na harakati zao za kuwaletea maendeleo Watanzania, kwa sababu kwa uchaguzi wa 2015, kama daftari la kudumu la kupiga kura litaboreshwa, CCM sio determinant ya rais wa Tanzania, 2015, hivyo nawashauri wandeleze juhudi zao kwa kasi zaidi, ili hata CCM ikiamua kuwatimua kwenye hilo lichama lao rushwa kunuka!, Watanzania wanajua 2015, wanataka nini, wanataka rais gani, mwenye uwezo gani, na kukubalika kwa kiasi gani, akifukuzwa CCM, hata akisimama kama mgombea wa kujitegemea!, tutamchagua tuu!.
- Kwa maoni yangu, maamuzi haya ni ya kipuuzi kupita maeleza!. Uamuzi huu unakiiza Chama cha Mapinduzi, katika listi ya vyama vya hovyo kabisa kupata kutokea!.
- Kwa vile wahusika ni wanachama wa Chama cha Mapinduzi, na wamevurumishiwa tuhuma mbalimbali za harakati za kuusaka urais, kufikia kiwango cha chama kuitisha kamati ya maadili kuwahoji, kabla ya kufikia hizi stages, ilibidi chama kipate tuhuma specific, hivyo walipoitwa kila mmoja alipaswa kusomewa tuhuma zake specific zikionyesha amevunja kanuni ipi, au kipengele kipi!, ndipo ajieleze!.
- Baada ya kupokea tuhuma na maelezo ya majibu, ilipaswa chama kijiridhishe na ushahidi kuhusu kukiukwa kwa tuhuma hizo na ndipo watoe adhabu!.
- Tamko hili la CCM ni just a "blanket sweeping statement!", lisilo na any specific kosa, hakuna kanuni iliyofunjwa, na hukumu ni too general, as if its a bunch of thugs, wakati watuhumiwa ni individuals na kila mmoja ame play role yake on his own, kuwaweka wote kwenye tenga moja, na kuwahukumu adhabu moja bila mchanganuo wa makosa yao, hiyo inaitwa hukumu ya "pakacha la samaki", akioza mmoja, wote wameoza!, huku sio kutendea haki wale ambao hawako kwenye harakati, at the expenses za wenye harakati!.
- Hata kama ni kweli, kuna watu wameanza harakati za chini chini, jee kuna yoyote aliyetangaza rasmi, expressly kuwa anautaka urais?, iweje CCM i act kwenye maneno ya kutajwa tajwa tuu!. Huu ni uthibitisho CCM ni chama cha majungu, fitna na zengwe, ambapi inayafanyia kazi majungu, fitna na zengwe, na kutoa maamuzi ya kimajungu majungu, kuwafanyia fitna na kutaka kuwapiga zengwe tuu baadhi ya wanaotajwa!.
- Naomba kuuliza tena, hivi kuna kosa lolote, mwana CCM yoyote, kuutamani urais?!.
- Hivi kuna kosa lolote, mwana CCM yoyote, kutangaza nia ya kuwania urais, wakati utakapowadia ili kutoa fursa kwa wana CCM kumpima?!.
- Jee lengo la adhabu hii ni kuwazuia watu wenye uchungu na umasikini wa Tanzania, kuwazuia wasihamasishe maendeleo na moyo wa kujitolea ili wasije wakaonesha huko ni kuusaka urais!.
- Niliwahi kusema CCM imechokwa, CCM imeozwa kwa rushwa left, right, from top to down on its roots, yaani imeoza hadi kwenye shina!, inanuka uvundo wa rushwa na vitendo vya ufisadi vilivyokithiri mwanzo mwisho!. Leo inapata wapi, ujasiri wa kuupiga mkwala mbuzi kama huu?.
- Uamuzi huu, ni kiashiria cha CCM kuendelea kujiona ni chama dola, hivyo kinatishia nyau ili wale wenye malengo mazuri na taifa hili, wakate tamaa, wanywee na kuwa watumwa wa CCM!
CCM iache tisha toto, na kuwatishia nyau watu wakubwa wazima!, na kwa mwendo huu wa CCM, na Chadema ni dhoofu bin taaban!, kwa 2015 mbona itakuwa Majanga?!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila supporter mkubwa wa kupigania Tanzania kupata rais mwenye uwezo ile 2015 kuepuka majanga ambayo tumeishakumbana nayo!.
Ccm haiwezi kuwavumilia wachuuzi wa madaraka.wanaonunua madaraka na uongozi kwa fedha zao
Ccm haiwezi kuwavumilia wachuuzi wa madaraka.wanaonunua madaraka na uongozi kwa fedha zao
Mkuu wangu Pasco, mbona kama umedondoka jukwaani ukiwa na jazba? Kwani katiba ya CCM inasemaje linapokuja suala la wanachama wake kufanya vitendo vinavyoashiria kampeni za mapema? Umeona hapo kwenye RED? Unaweza ku-connect dots hapo? Manake hapo kwenye RED ni kama umetaja jina la mtu na kwamba hasira zako ndipo zilipojikita...ni hisia zangu tu!!
Wanabodi,
Nimesoma maamuzi ya CC ya CCM kuhusu wanaotuhumiwa kuanza harakati za kuusaka urais wa 2015.
Uamuzi wenyewe ni huu
Natoa wito kwa wale wote wenye nia njema na taifa hili, waliochoshwa na umasikini wa Watanzania, walipuuze kabisa tamko hili la CCM, na kuendelea na harakati zao za kuwaletea maendeleo Watanzania, kwa sababu kwa uchaguzi wa 2015, kama daftari la kudumu la kupiga kura litaboreshwa, CCM sio determinant ya rais wa Tanzania, 2015, hivyo nawashauri wandeleze juhudi zao kwa kasi zaidi, ili hata CCM ikiamua kuwatimua kwenye hilo lichama lao rushwa kunuka!, Watanzania wanajua 2015, wanataka nini, wanataka rais gani, mwenye uwezo gani, na kukubalika kwa kiasi gani, akifukuzwa CCM, hata akisimama kama mgombea wa kujitegemea!, tutamchagua tuu!.
- Kwa maoni yangu, maamuzi haya ni ya kipuuzi kupita maeleza!. Uamuzi huu unakiiza Chama cha Mapinduzi, katika listi ya vyama vya hovyo kabisa kupata kutokea!.
- Kwa vile wahusika ni wanachama wa Chama cha Mapinduzi, na wamevurumishiwa tuhuma mbalimbali za harakati za kuusaka urais, kufikia kiwango cha chama kuitisha kamati ya maadili kuwahoji, kabla ya kufikia hizi stages, ilibidi chama kipate tuhuma specific, hivyo walipoitwa kila mmoja alipaswa kusomewa tuhuma zake specific zikionyesha amevunja kanuni ipi, au kipengele kipi!, ndipo ajieleze!.
- Baada ya kupokea tuhuma na maelezo ya majibu, ilipaswa chama kijiridhishe na ushahidi kuhusu kukiukwa kwa tuhuma hizo na ndipo watoe adhabu!.
- Tamko hili la CCM ni just a "blanket sweeping statement!", lisilo na any specific kosa, hakuna kanuni iliyofunjwa, na hukumu ni too general, as if its a bunch of thugs, wakati watuhumiwa ni individuals na kila mmoja ame play role yake on his own, kuwaweka wote kwenye tenga moja, na kuwahukumu adhabu moja bila mchanganuo wa makosa yao, hiyo inaitwa hukumu ya "pakacha la samaki", akioza mmoja, wote wameoza!, huku sio kutendea haki wale ambao hawako kwenye harakati, at the expenses za wenye harakati!.
- Hata kama ni kweli, kuna watu wameanza harakati za chini chini, jee kuna yoyote aliyetangaza rasmi, expressly kuwa anautaka urais?, iweje CCM i act kwenye maneno ya kutajwa tajwa tuu!. Huu ni uthibitisho CCM ni chama cha majungu, fitna na zengwe, ambapi inayafanyia kazi majungu, fitna na zengwe, na kutoa maamuzi ya kimajungu majungu, kuwafanyia fitna na kutaka kuwapiga zengwe tuu baadhi ya wanaotajwa!.
- Naomba kuuliza tena, hivi kuna kosa lolote, mwana CCM yoyote, kuutamani urais?!.
- Hivi kuna kosa lolote, mwana CCM yoyote, kutangaza nia ya kuwania urais, wakati utakapowadia ili kutoa fursa kwa wana CCM kumpima?!.
- Jee lengo la adhabu hii ni kuwazuia watu wenye uchungu na umasikini wa Tanzania, kuwazuia wasihamasishe maendeleo na moyo wa kujitolea ili wasije wakaonesha huko ni kuusaka urais!.
- Niliwahi kusema CCM imechokwa, CCM imeozwa kwa rushwa left, right, from top to down on its roots, yaani imeoza hadi kwenye shina!, inanuka uvundo wa rushwa na vitendo vya ufisadi vilivyokithiri mwanzo mwisho!. Leo inapata wapi, ujasiri wa kuupiga mkwala mbuzi kama huu?.
- Uamuzi huu, ni kiashiria cha CCM kuendelea kujiona ni chama dola, hivyo kinatishia nyau ili wale wenye malengo mazuri na taifa hili, wakate tamaa, wanywee na kuwa watumwa wa CCM!
CCM iache tisha toto, na kuwatishia nyau watu wakubwa wazima!, na kwa mwendo huu wa CCM, na Chadema ni dhoofu bin taaban!, kwa 2015 mbona itakuwa Majanga?!.
Wasalaam.
Pasco.
NB. Pasco wa jf, sio mwanachama wa chama chochote cha siasa, ila supporter mkubwa wa kupigania Tanzania kupata rais mwenye uwezo ile 2015 kuepuka majanga ambayo tumeishakumbana nayo!.
Ukisoma maelezo ya mleta mada utajua wazi kuwaamevurugwa na anamtumikia mtu,hayuko huru