Nadhani ilikuwa yapata saa 6 na kitu usiku mitaa Sinza siku ya Jana.
Nakumbuka kwa mbali wadau niliokuwa nao waliniongoza kuelekea kwenye gari yangu ili niweze kuondoka eneo la tukio.
Baada ya hapo nimejikuta nimelala chumbani leo nikiwa na viatu,
Kushtuka nikakimbilia nje nikakuta gari nilipaki vizuri na geti nikafunga vizuri lakini funguo zote nikaacha kwenye mlango wa kuingia main house.
Pombe ni noma.
Nakumbuka kwa mbali wadau niliokuwa nao waliniongoza kuelekea kwenye gari yangu ili niweze kuondoka eneo la tukio.
Baada ya hapo nimejikuta nimelala chumbani leo nikiwa na viatu,
Kushtuka nikakimbilia nje nikakuta gari nilipaki vizuri na geti nikafunga vizuri lakini funguo zote nikaacha kwenye mlango wa kuingia main house.
Pombe ni noma.