balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,474
- 12,608
Mimi nakwambia na nakuhakikishia ,hatuna jeshi la polisi,tuna militia wing ya CCM.Hii ni sawa na Storm troopers au Gestapo ya Adolf Hitler au Hitler Youth nk.Kwa dhati kabisa hali hii si nzuri sana kwa Taifa letu,Hv polisi wetu wanamakosa gani mpaka wasiaminike kiasi hiki?Wengine wameenda mbali zaidi wakionyesha kuwa,ukitoa taarifa unaweza kuishia jela.
Naomba niwaeleze kuwa jeshi letu bado ni Imara,na liko tayari kushirikiana na Raia wema.Hivyo yeyote mwenye taarifa usiwe na shaka na utoaji wako wa taarifa.
Ni mimi mwananchi mnyonge.