Kwa Tanzania ilivyo unaweza kumpata Mo alafu ukaishia kufungwa bila hata kuigusa bilion hiyo

Yoo kwahiyo amutaki biriyoni nyiye
Nikisema sizitaki nitakuwa muongo kwani sijui nitakaa nifanye nini nizione tu zimeandikwa kwenye kibubu changu. Ila, nimesema, kitendo tu cha kuwaonesha kwamba yuleeeee halafu iwe kweli, sijui kama utachukua dk duniani weye
 
Taarifa unawapa familia na inakuwa siri ya familia
Haaah we jidanganye familia haiwezi kamata watuhumiwa taarifa hizo zinaenda Polisi na zikifika huko umekwisha watakuhitaji na ukifika huko wanakuanika hapo unaliwa kote kote Polisi na kwa wale watuhumiwa lazima wakutafute wakumalize

1B ni tamu na nzuri ila kwa mazingira yetu ya Tz ni BIG NOO!!
 
Tuwe wakweli ni mara ngapi tumeona watu wanakwepa kutoa taarifa muhimu polis kwa mfano unakuta mtu kafa bara barani unaangalia kushoto kama hujamuona vile,
Mara ngapi unakutana na bunduki imefichwa alafu unaipita kama umeona mti tu
Mara ngapi majirani wanavamiwa usiku tunaogopa kutoa ushirikiano??

Hii yote ni ile Sheria mbovu ya kulisaidia jeshi la polis , wanasomba tu,

Mfano kuna wengi huwa wanasakiziwa sana , unaenda kutoa taarifa unavulishwa viatu kuwekwa ndani,

Leo hii ukamuona dewji ukaenda kureport
1. Kwanza utaambiwa kwakuwa hela imetangazwa ndo ukaamua ureport hebu kuwa central unasaidia polis kidogo

2. Utaambiwa umepata pata vipi habari kwamba yuko upande huo, hapo mambo sasa ashaita waandishi wa habari kwamba tumempata mtekaji, usiombee ukamatwe n.a. Yule wa dodoma utapata tabu sana


Hivo usishangae hiyo bilion yako serikali inataka income tax asilimia kadhaa huku umewasaidia kazi yao,

Aisee mi ntarudi bongo kuazia mwaka 2030
Upo sahihi kabisa. Nina mifano mingi mno. Kuna jamaa fulani maeneo, alikamatwa kwa kosa la uvuvi haramu, then akawekwa mahabusu, ila kabla ya kuingia sero alikabidhi vitu vyake, baada ya kutoka mahabusu akaambiwa aje kesho yake kuchukua vitu vyake, alipofika tu aliambiwa kamtukana afisa wa polisi wa zamu, tena wakamuweka ndani, ndugu zake ikabidi watoe laki moja na nusu kumtoa.
Kwa ufupi jeshi la polisi lina majambazi na wezi. Mfano mwingine wakienda kwenye misako ya ng’ombe kwenye hifadhi huwa wanachukua mifugo na kugawana, sasa achilia kwenye ushahidi, yaani ukienda kutoa taarifa wanakuweka ndani na kukubambikiza kesi hata ya mauaji, ili utoe rushwa, so sad, hii ndo bongo.
 
Hizo namba zilizotajwa nazo sizo kabisa. Ukipiga tu kwamba nimempata, hakujakucha vizuri Mambosasa yupo mlango kwako
Nimeoliona hilo suala.
Namba za hapa bongo ni rahisi kurekodiwa au kufuatiliwa sms.

Wangeweka na barua pepe.
 
Nikisema sizitaki nitakuwa muongo kwani sijui nitakaa nifanye nini nizione tu zimeandikwa kwenye kibubu changu. Ila, nimesema, kitendo tu cha kuwaonesha kwamba yuleeeee halafu iwe kweli, sijui kama utachukua dk duniani weye
Kabisa maana waliomteka wakiamua kukufuatilia wewe inakuwa ishu
 
Upo sahihi kabisa. Nina mifano mingi mno. Kuna jamaa fulani maeneo, alikamatwa kwa kosa la uvuvi haramu, then akawekwa mahabusu, ila kabla ya kuingia sero alikabidhi vitu vyake, baada ya kutoka mahabusu akaambiwa aje kesho yake kuchukua vitu vyake, alipofika tu aliambiwa kamtukana afisa wa polisi wa zamu, tena wakamuweka ndani, ndugu zake ikabidi watoe laki moja na nusu kumtoa.
Kwa ufupi jeshi la polisi lina majambazi na wezi. Mfano mwingine wakienda kwenye misako ya ng’ombe kwenye hifadhi huwa wanachukua mifugo na kugawana, sasa achilia kwenye ushahidi, yaani ukienda kutoa taarifa wanakuweka ndani na kukubambikiza kesi hata ya mauaji, ili utoe rushwa, so sad, hii ndo bongo.
Hakika
 
Kabisa maana waliomteka wakiamua kukufuatilia wewe inakuwa ishu

Huo ndo ukweli. Wadhani wao walimteka ili wapewe bilion?? Kama ingekuwa hawana shida na hela mbona wangeshamtelekeza hata pale Mwananyamala hosp. Nadhani wana shida na hela na sasa hiyo familia ingojee mwito tu
 
Upo sahihi kabisa. Nina mifano mingi mno. Kuna jamaa fulani maeneo, alikamatwa kwa kosa la uvuvi haramu, then akawekwa mahabusu, ila kabla ya kuingia sero alikabidhi vitu vyake, baada ya kutoka mahabusu akaambiwa aje kesho yake kuchukua vitu vyake, alipofika tu aliambiwa kamtukana afisa wa polisi wa zamu, tena wakamuweka ndani, ndugu zake ikabidi watoe laki moja na nusu kumtoa.
Kwa ufupi jeshi la polisi lina majambazi na wezi. Mfano mwingine wakienda kwenye misako ya ng’ombe kwenye hifadhi huwa wanachukua mifugo na kugawana, sasa achilia kwenye ushahidi, yaani ukienda kutoa taarifa wanakuweka ndani na kukubambikiza kesi hata ya mauaji, ili utoe rushwa, so sad, hii ndo bongo.
Nchi ya ovyo sana hii ila basi tu everything is totally messed up
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom