kalimanzilajuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 323
- 314
Pesa ni za familia Kangi anaingiaje hapa?na taarifa unaipa familia.Kangi hawezi kukubali ujinyakulie pesa ndefu kiasi hicho, lazima akupige zengwe.
Pesa ni za familia Kangi anaingiaje hapa?na taarifa unaipa familia.Kangi hawezi kukubali ujinyakulie pesa ndefu kiasi hicho, lazima akupige zengwe.
Kwani taarifa unwapa polisi au familia
Uko sawaaaa kabisa
Asante mkuu kwa kutushtua kumbe mtu unaweza ingia mkenge
Hizo namba zilizotajwa nazo sizo kabisa. Ukipiga tu kwamba nimempata, hakujakucha vizuri Mambosasa yupo mlango kwako
Nikisema sizitaki nitakuwa muongo kwani sijui nitakaa nifanye nini nizione tu zimeandikwa kwenye kibubu changu. Ila, nimesema, kitendo tu cha kuwaonesha kwamba yuleeeee halafu iwe kweli, sijui kama utachukua dk duniani weye
Haaah we jidanganye familia haiwezi kamata watuhumiwa taarifa hizo zinaenda Polisi na zikifika huko umekwisha watakuhitaji na ukifika huko wanakuanika hapo unaliwa kote kote Polisi na kwa wale watuhumiwa lazima wakutafute wakumalize
1B ni tamu na nzuri ila kwa mazingira yetu ya Tz ni BIG NOO!!
Uanze kwanza kusema umemuona inamaana wew unaakili kuliko police
Jaribu ufie jera
Upo sahihi kabisa. Nina mifano mingi mno. Kuna jamaa fulani maeneo, alikamatwa kwa kosa la uvuvi haramu, then akawekwa mahabusu, ila kabla ya kuingia sero alikabidhi vitu vyake, baada ya kutoka mahabusu akaambiwa aje kesho yake kuchukua vitu vyake, alipofika tu aliambiwa kamtukana afisa wa polisi wa zamu, tena wakamuweka ndani, ndugu zake ikabidi watoe laki moja na nusu kumtoa.
Kwa ufupi jeshi la polisi lina majambazi na wezi. Mfano mwingine wakienda kwenye misako ya ng’ombe kwenye hifadhi huwa wanachukua mifugo na kugawana, sasa achilia kwenye ushahidi, yaani ukienda kutoa taarifa wanakuweka ndani na kukubambikiza kesi hata ya mauaji, ili utoe rushwa, so sad, hii ndo bongo.
Nimeoliona hilo suala.
Namba za hapa bongo ni rahisi kurekodiwa au kufuatiliwa sms.
Wangeweka na barua pepe.
Hii ni TZ mzee baba sio kila kinachosemwa ndo kinatekelezwa.Pesa ni za familia Kangi anaingiaje hapa?na taarifa unaipa familia.
Kabisa maana waliomteka wakiamua kukufuatilia wewe inakuwa ishu
Labda upige kwa whatsap ambayo in a end to end encycliption
Nchi ya ovyo sana hii ila basi tu everything is totally messed up
Achen nizam ya uoga tuingien porin,
Kama wametoa dau bas wapo tayar kutoa ushirikiano
Mm ningepata vijana 5 tu wa kaz, MO tunaamka nae alfajir na swala
Nimpate IT (hacker uko n mbal sana)
Mcheza karate
Psychologist
Driver makn (kama wa fast and furious van diesel)
Team captain mm menyew
MO anapatkana ndan ya masaa 12
Taarifa unawapa familia then wao wanatoa taarifa polisi.Polisi watataka kujua mtoa taarifa ili asaidie ushahidi.Wakigoma kutoa jina lako kesi inawageuka wao,simply watakutaja tu.Na hapo ndo utaiona Kwa macho hiyo Billion