kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Ukiota unafanya mapenzi na mama au baba yako mzazi maana yake unatakiwa uharakishe mipamgo yako ya biashara.
Mwanamme akiota anafanya mapenzi na mwanamme mwenzie ni ishara ya kupoteza heshima yake, fedha zake, kudharauliwa na wanaomtegemea au kupata kesi ya kashfa na kumuacha mkewe.
Ukiota unafanya mapenzi na mtoto mdogo ambaye hajatimiza umri wa kufanya mapenzi ni ishara ya kupata matatizo ya akili.
Ukiota unafanya mapenzi na mwanamke au mwanamme mwenye sura mbaya maana yake utapata hasara.
Ukiota unafanya mapenzi na mke wa mtu ni ishara ya kupata biashara ambayo itakuletea faida kubwa kutoka kwa mumewe.
Mtu mgonjwa akiota anafanya mapenzi na mama yake mzazi hiyo ni ishara kwamba mgonjwa huyo atakufa.
Ukiota unafanya mapenzi na Maiti mwanamke au mwanamume ni ishara ya kifo chako wewe mwenyewe.
Mwanamke aliyeolewa akiota anafanya mapenzi na mwanamke mwenzie ni ishara ya kuachwa na mumewe au kufiwa na mume huyo.
Mwanamme akiota anafanya mapenzi na mwanamme mwenzie ni ishara ya kupoteza heshima yake, fedha zake, kudharauliwa na wanaomtegemea au kupata kesi ya kashfa na kumuacha mkewe.
Ukiota unafanya mapenzi na mtoto mdogo ambaye hajatimiza umri wa kufanya mapenzi ni ishara ya kupata matatizo ya akili.
Ukiota unafanya mapenzi na mwanamke au mwanamme mwenye sura mbaya maana yake utapata hasara.
Ukiota unafanya mapenzi na mke wa mtu ni ishara ya kupata biashara ambayo itakuletea faida kubwa kutoka kwa mumewe.
Mtu mgonjwa akiota anafanya mapenzi na mama yake mzazi hiyo ni ishara kwamba mgonjwa huyo atakufa.
Ukiota unafanya mapenzi na Maiti mwanamke au mwanamume ni ishara ya kifo chako wewe mwenyewe.
Mwanamke aliyeolewa akiota anafanya mapenzi na mwanamke mwenzie ni ishara ya kuachwa na mumewe au kufiwa na mume huyo.