Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
Kwa Tabia za ukigeu geu za hiki chama kwa mbali naona huyu naye anaweza kuhamasishwa kugombea Urais/
Naona Tayari Mzee wangu Lowasa wametupa kapuni sasa ni BCM mara sijui Kazi na Bata.
#Endeleeni kuchezeshwa mchezo wa watoto huku 2020 Jpm akizidi kusonga mbele.
Naona Tayari Mzee wangu Lowasa wametupa kapuni sasa ni BCM mara sijui Kazi na Bata.
#Endeleeni kuchezeshwa mchezo wa watoto huku 2020 Jpm akizidi kusonga mbele.