karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Haiwezekani kila baada ya mechi ya Simba tena wakifanya vizuri wao ni press tu na kwenye press hamna cha kuzungumzia zaidi ya mabadiliko na usajili wa wanachama.
Kama kuna shabiki wa Yanga anasoma uzi huu nawaambia hizo ni roho za kichawi na hamtofika popote pale mtaishia hapa hapa.
Simba ilipoifunga Asec Mimosas wakaitisha press Bumbuli na Manara ila iliyopoteza kule Morocco wakakaa kimya.
Jana imeshinda leo mkutano na wahandishi wa habari tena huu ni uzwazwa
Nimeandika nikiwa nimepanic
Kama kuna shabiki wa Yanga anasoma uzi huu nawaambia hizo ni roho za kichawi na hamtofika popote pale mtaishia hapa hapa.
Simba ilipoifunga Asec Mimosas wakaitisha press Bumbuli na Manara ila iliyopoteza kule Morocco wakakaa kimya.
Jana imeshinda leo mkutano na wahandishi wa habari tena huu ni uzwazwa
Nimeandika nikiwa nimepanic